Polisi wakamata gari lililokuwa na mizoga ya ng'ombe machinjio ya Tegeta

Wao ndio hawana jema, waliiba minofu pale Buguruni

Hivi wewe huwa unafuatilia habari kweli au unapenda tu kubishana kwasababu unalipwa buku saba

Buku saba ndio nini

Swala la wizi halipo kwenye sera za serikali wala vyama, ni la mtu binafsi na ashutumiwe na kushughulikiwa mhusika... ku generalise ni kuwachafua wengine.

Hivi Mbowe alipoiba michango ya wenzie mlimfanyaje☺☺☺
 
Wacha upumbaf wewe sukuma gang,unakuwa kama moto wa kifuu kisa kasemwa babako?
 
Kweli sukuma gang mnahangaika sana na mtahangaika sana na bado.
 
Si mara ya kwanza kwa mizoga kukamatwa machinjio ya Tegeta. Kuna wkt serikali ilifunga kabisa machinjio hayo baada ya kukuta semi trailer imejaa mizoga
 
Hiyo kesi mbona wataikwepa kirahisi tu,si watasema walikuwa wnaenda kuitupa...
 
Wamjaribu mama kivipi kwa mfano, hayo yote ni ugum wa maisha haya yaliyosababishwa na jiwe mwendazake, wavute subira good days are coming, our prayers to our beautiful mother of the nation.
Ukoo wako utakufa kwa umasikini kama akili yenyewe ndio hii
 
Hapo ni tabia zao nishawahi shuhudia saa saba usiku natika kwenye harusi kuanzia mataa ya kibaoni kirikuu ilikuwa mbele yangu ndani kuna mzoga wa ng'ombe kalala kavimba tumbo wakaelekea kule machinjioni
 
Vipi dikteta Mbowe nasikia Ukimwi unataka kummaliza plus chanjo nasikia anaharisha yuko kitandani
Yupo kitandani duniani anaenjoy hewa ya oxygen .

Poleni kwa kupata PIGO la kikatili la corona
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…