Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 15,835
- 23,776
Wanyonge wanaomba majina, mkoa gani na je , mbona huwa hamuwataji?
Msemaji wa Jeshi la Polisi, DCP David Misime, amesema baada ya ukaguzi, wahusika walichukuliwa hatua za kinidhamu kwa kushtakiwa, Askari 8 wamefukuzwa kazi na kufutwa Jeshini na wengine kesi zao zipo hatua za mwisho.
WADAU WANASEMAJE?
1.jeshi liki amua kuchunguza mashine ya MSATA kutoka bagamoyo na MSATA kutoka MKATA,..ingine KOROGWE hawa wapo pale holet ya KILIMANJARO na MWAGA zichunguzwe pia zimekuwa ni kilio kikubwa sana kwetu madereva.
2. Fanyeni uchunguz mashine yachalinze manakilasku tunapgwa toshi spid iyoiyo.
3. WAsikilizwe, huenda mashine ni mbovu na si zao.