Kilwa94
JF-Expert Member
- Aug 21, 2016
- 2,676
- 3,046
Na serikali inatumia icho kipengele kuwakandamizi mapolisiNin kosa la uhaini askari kullalamikia mshahara. Askari amekula kiapo cha utii na uaminifu na hata kuifia nchi yake. Iweje anadai nyongeza ya mshahara??
Watafutwe hao askari wanaolalamika wafutwe kazi na kisha wanyongwe.