Polisi waliohusika na M.150 Wafukuzwa kazi!

Polisi waliohusika na M.150 Wafukuzwa kazi!

ina maana serikali ya jk imeacha kusiliza maelekezo ya chadema sasa inaongozwa kwa maelekezo ya jamii forums, selikali ya kipuuzi hii, jamani nakumbuka jana wakati tukijadili yale matapeli ya kipolisi ya tunduma yaliyopeleka sampuli ya chumvi badala ya dawa za kulevya, kuna mchangiaji aliuliza hivi!!! Mbona wezi wa milion 150 hatujawasikia hadi leo ??? Lilikuwa swali kwa nchimbi waziri wa ndani ya nyumba.cha ajabu leo kova kakurupuka bila kupiga mswaki anakuja kutueleza kufukuza hao askari.je hii ni serikali kweli???? Au mazingaombwe.
wasingefanya mngesema viziwi,wakifanya mnasema legelege
 
Mbona nasikia hata wakubwa wengi tu wamepata mgao?na pIa mbona Chagonja hajafukuzwa?maana yeye na Mke wake wameshiriki kuwalipisha vijana pesa za kupata ajira polisi?mbona wao hawajafukuzwa wanamuonea Chalamila!
 
Kuna vitu hatuvijui ila kova na hao maaskari watano wanavijua
 
Mshahara wa polisi kwani shilling ngapi coz mtu kachukua 150 million unamfukuza kazi inasaidia nini
After 3 month anafukuzana na mengi mwaka ukiisha tajiri kuliko bakresa
Poor thinking capacity ya viongozi wetu ndo inaigarimu nchi
Kova kesho kutwa atawaomba rushwa hawa matajiri aliowafukuza kazi
Pumbavu

...safi kabisa...kesho utamkuta Kova ni gateman kwa hao aliowanadi kuwafukuza leo
 
Narudia tena Ccm wanajipanga kwa ajili ya 2015...
Mkuu wa Polisi Kanda maalum ya Dar es Salaam,Kamanda SULEMAN KOVA,amesema kwamba Jeshi la Polisi limewafukuza Askari Polisi Watano waliohusika na Wizi wa pesa zaidi ya shilingi Ml,150 walizoiba ktk tukio la Ujambazi lililotokea mwishoni mwa mwaka jana maeneo ya KARIAKOO!
Akizungumza na Waandishi wa Habari alisema kwamba baada ya Polisi kufanya Upelelezi pamoja na Kuwahoji baadhi ya raia waliokuwepo ktk eneo la Tukio siku ile, walijiridhisha kwamba ni ukweli kwamba Askari polisi hao watano waliiba pesa hizo!

Ndipo waliamua kuwashtaki ktk Mahakama ya kijeshi pamoja na kuwafukuza Kazi!!

Source:ITV HABARI SAA 2 USIKU!

NB:
Je hatua kuwashtaki Polisi hao ktk Mahakama ya Kijeshi pekee badala ya Mahakama ya Kiraia ni sawa??
Tayari wamevuliwa vyeo na kwamba wao sio Askari polisi tena ila ni raia wa kawaida,kama hakuna Kiini Macho,hapo je Kuna nini?
 
Kama watapigwa mvua ndogo bila kurudisha hizo hela itakuwa bingo kwao kuliko kazi yao ndani ya miaka 20.
 
Mkuu wa Polisi Kanda maalum ya Dar es Salaam,Kamanda SULEMAN KOVA,amesema kwamba Jeshi la Polisi limewafukuza Askari Polisi Watano waliohusika na Wizi wa pesa zaidi ya shilingi Ml,150 walizoiba ktk tukio la Ujambazi lililotokea mwishoni mwa mwaka jana maeneo ya KARIAKOO!
Akizungumza na Waandishi wa Habari alisema kwamba baada ya Polisi kufanya Upelelezi pamoja na Kuwahoji baadhi ya raia waliokuwepo ktk eneo la Tukio siku ile, walijiridhisha kwamba ni ukweli kwamba Askari polisi hao watano waliiba pesa hizo!

Ndipo waliamua kuwashtaki ktk Mahakama ya kijeshi pamoja na kuwafukuza Kazi!!

Source:ITV HABARI SAA 2 USIKU!

NB:
Je hatua kuwashtaki Polisi hao ktk Mahakama ya Kijeshi pekee badala ya Mahakama ya Kiraia ni sawa??
Tayari wamevuliwa vyeo na kwamba wao sio Askari polisi tena ila ni raia wa kawaida,kama hakuna Kiini Macho,hapo je Kuna nini?

Isije kuwa hao ndio huwa wanaandaliwa kuwa-Limboka watu!
 
Mkuu wa Polisi Kanda maalum ya Dar es Salaam,Kamanda SULEMAN KOVA,amesema kwamba Jeshi la Polisi limewafukuza Askari Polisi Watano waliohusika na Wizi wa pesa zaidi ya shilingi Ml,150 walizoiba ktk tukio la Ujambazi lililotokea mwishoni mwa mwaka jana maeneo ya KARIAKOO!
Akizungumza na Waandishi wa Habari alisema kwamba baada ya Polisi kufanya Upelelezi pamoja na Kuwahoji baadhi ya raia waliokuwepo ktk eneo la Tukio siku ile, walijiridhisha kwamba ni ukweli kwamba Askari polisi hao watano waliiba pesa hizo!

Ndipo waliamua kuwashtaki ktk Mahakama ya kijeshi pamoja na kuwafukuza Kazi!!

Source:ITV HABARI SAA 2 USIKU!

NB:
Je hatua kuwashtaki Polisi hao ktk Mahakama ya Kijeshi pekee badala ya Mahakama ya Kiraia ni sawa??
Tayari wamevuliwa vyeo na kwamba wao sio Askari polisi tena ila ni raia wa kawaida,kama hakuna Kiini Macho,hapo je Kuna nini?

hata me nahisi kuna kiini macho nahii nikwanin itokee baada yachmbi kuwacmamisha wengne je mda walikuwa wap? Je hzo m150 watazludsha vp achen hzo bana pengne mmekula wote baada yakunuka ndo mumeamua kuwa kuwaangushia jumba bovu askar wa chini nahv polisi wenyewe hawapendan na hawana uhuru mbona mwaka huu ni wao
 
Ni utaratibu wa Sheria za nchi polisi haruhusiwi kushtakiwa mahakama ya kiraia kabla ya kufukuzwa kazi kwa makosa ya jinai , hivyo basi tatizo jingine siku hizi ni kwamba mpaka hati ya mashtaka mpaka iende kwa DPP halafu DPP kama wmeshaenda kumwona unaweza ambiwa hakuna ushahidi wa kutosha, then Kimyaaaa
 
Kuwafukuza tu sio suluhisho,tatizo ni pale mtu aliyepewa dhamana ya kulinda uhai na mali za Mtanzania yeye ndiye anahusika kuhujumu na kumuibia mtu ambaye anamlinda,ni sawa unampa fisi kumlinda mbuzi ndio hali ilivyo sasa hivi
Pesa imepotea ikiwa mikononi mwa polisi ambao ni walinzi wa mali za wananchi,je polisi watamlipa muathirika aliyepotelewa na hizo pesa? Au kuwafukuza tu ndio tosha then pesa yake imepotea? Ukizingatia maisha ya Mtanzania mmoja kama si wawili yalikoma je fidia inakuwaje hapo?
Jeshi la polisi limelalamikiwa mara nyingi kiasi cha kufikia wananchi kukosa imani na jeshi hilo Kova atawahakikishiaje wananchi kuwa polisi ni sehemu salama kwa mwananchi wa Tanzania na kuondoa ile dhana kwamba polisi ni kichaka cha wahuni na wezi fulani ambao wanatumia madaraka waliyonayo ya kuvaa rangi ya taifa ili tu kufanikisha maovu yao?
Je ni hawa ndio watu walioaminiwa na nchi kuwapa ulinzi wa taifa letu?
Je haionekani sasa ni wakati muafaka wa serikali kuchuja na kufuatilia nyendo za wanaoajiriwa na jeshi hilo ili waajiriwe watu makini wasioliletea jeshi la polisi kashfa zisizokuwa na msingi,na jeshi limewekaje mazingira ya kuhakikisha kwamba hilo jeshi si kichaka cha wahuni na wezi?
Ndani ya wiki moja yametokea matukio yanayochafua sura ya jeshi la polisi na kuthibitisha si walinzi wa mali ha uhai wa wananchi kwani wao ndio wanaoongoza kwa kuwaua watanzania kwa silaha zilizonunuliwa kwa kodi wanazolipa hao watanzania wanaouawa,matukio ya rushwa,ujambazi kuuza vielelezo vya madawa ya kulevya na kuweka sukari na chumvi inathibitisha wazi kwamba jeshi la polisi kuanzia juu hadi chini hawako makini ni kundi fulani la wahuni au hawa wa chini hawathaminiwi ndio maana wanafanya vitendo vya ajabu na hakuna hatua zozote zinazochukuliwa,na ndio maana wanaua halafu wanalindana hawataki wapigwe picha na kuondoana maakamani kiholela,mie nafikiri ifikie wakati jeshi hili waangalie je wanawasaidiaje wananchi au wanaangalia maslahi yao,watu wanauawa lakini hakuna hatua zinazochukuliwa damu za watanzania zinamwagwa na watanzania wenzao bila aibu tumefikia huko?
Hatua zinazochukuliwa sasa hivi zimechelewa ilitakiwa zichukuliwe mapema na si sasa
 
Mkuu wa Polisi Kanda maalum ya Dar es Salaam,Kamanda SULEMAN KOVA,amesema kwamba Jeshi la Polisi limewafukuza Askari Polisi Watano waliohusika na Wizi wa pesa zaidi ya shilingi Ml,150 walizoiba ktk tukio la Ujambazi lililotokea mwishoni mwa mwaka jana maeneo ya KARIAKOO!
Akizungumza na Waandishi wa Habari alisema kwamba baada ya Polisi kufanya Upelelezi pamoja na Kuwahoji baadhi ya raia waliokuwepo ktk eneo la Tukio siku ile, walijiridhisha kwamba ni ukweli kwamba Askari polisi hao watano waliiba pesa hizo!

Ndipo waliamua kuwashtaki ktk Mahakama ya kijeshi pamoja na kuwafukuza Kazi!!

Source:ITV HABARI SAA 2 USIKU!

NB:
Je hatua kuwashtaki Polisi hao ktk Mahakama ya Kijeshi pekee badala ya Mahakama ya Kiraia ni sawa??
Tayari wamevuliwa vyeo na kwamba wao sio Askari polisi tena ila ni raia wa kawaida,kama hakuna Kiini Macho,hapo je Kuna nini?
vipi? kuhusu wale walioficha fedha Uswis
 
Back
Top Bottom