Polisi waliohusika na M.150 Wafukuzwa kazi!

Polisi waliohusika na M.150 Wafukuzwa kazi!

Nimemkumbuka Msabaha akiwa Naibu Waziri
kwenye sakata la Richmond alisema kabisa
Anahukumiwa kama Kondoo wa Kafara(Bangusiro).

Lakini hajui lolote kuhusu Richmond
sasa hawa Polisi haingii akilini Milioni 150 hao Vigogo wa Polisi hawana mgawo.
Pesa ilitakiwa irudishwe maana Jeshi lomejiridhisha vizuri.

Kwanini wasiwabane na pesa zirudi zaidi usanii
wanategemea ujambazi utaisha
Polisi ndiyo hao wanaosemekana kuwa walipomkata walimuuwa ili kutoroka na fuko la Milioni 150

Pesa warudishe ndiyo tuwaelewe.
 
Ni uonevu tu huu kwani kuna watu wana tuhuma kubwa zaidi ya hii
Mkuu wa Polisi Kanda maalum ya Dar es Salaam,Kamanda SULEMAN KOVA,amesema kwamba Jeshi la Polisi limewafukuza Askari Polisi Watano waliohusika na Wizi wa pesa zaidi ya shilingi Ml,150 walizoiba ktk tukio la Ujambazi lililotokea mwishoni mwa mwaka jana maeneo ya KARIAKOO!
Akizungumza na Waandishi wa Habari alisema kwamba baada ya Polisi kufanya Upelelezi pamoja na Kuwahoji baadhi ya raia waliokuwepo ktk eneo la Tukio siku ile, walijiridhisha kwamba ni ukweli kwamba Askari polisi hao watano waliiba pesa hizo!

Ndipo waliamua kuwashtaki ktk Mahakama ya kijeshi pamoja na kuwafukuza Kazi!!

Source:ITV HABARI SAA 2 USIKU!

NB:
Je hatua kuwashtaki Polisi hao ktk Mahakama ya Kijeshi pekee badala ya Mahakama ya Kiraia ni sawa??
Tayari wamevuliwa vyeo na kwamba wao sio Askari polisi tena ila ni raia wa kawaida,kama hakuna Kiini Macho,hapo je Kuna nini?
 
poa tuwakamate na wale waliofisid pesa za epa kwan hizo tsh mil mia hamsin ni tujicent tu
 
Back
Top Bottom