Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 54,894
- 64,043
Nimemkumbuka Msabaha akiwa Naibu Waziri
kwenye sakata la Richmond alisema kabisa
Anahukumiwa kama Kondoo wa Kafara(Bangusiro).
Lakini hajui lolote kuhusu Richmond
sasa hawa Polisi haingii akilini Milioni 150 hao Vigogo wa Polisi hawana mgawo.
Pesa ilitakiwa irudishwe maana Jeshi lomejiridhisha vizuri.
Kwanini wasiwabane na pesa zirudi zaidi usanii
wanategemea ujambazi utaisha
Polisi ndiyo hao wanaosemekana kuwa walipomkata walimuuwa ili kutoroka na fuko la Milioni 150
Pesa warudishe ndiyo tuwaelewe.
kwenye sakata la Richmond alisema kabisa
Anahukumiwa kama Kondoo wa Kafara(Bangusiro).
Lakini hajui lolote kuhusu Richmond
sasa hawa Polisi haingii akilini Milioni 150 hao Vigogo wa Polisi hawana mgawo.
Pesa ilitakiwa irudishwe maana Jeshi lomejiridhisha vizuri.
Kwanini wasiwabane na pesa zirudi zaidi usanii
wanategemea ujambazi utaisha
Polisi ndiyo hao wanaosemekana kuwa walipomkata walimuuwa ili kutoroka na fuko la Milioni 150
Pesa warudishe ndiyo tuwaelewe.