Mkoroshokigoli
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 14,593
- 5,581
Nami nawaza hivyo,Hawa nahisi wamepelekwa NEWALAMbona yeye hajajifukuza? Majina yametajwa? Wasijesema wamewafukuza aafu wakawahamishia makete wakaue wateja wa nmb wakati wakichukua hela zao.
wasingefanya mngesema viziwi,wakifanya mnasema legelegeina maana serikali ya jk imeacha kusiliza maelekezo ya chadema sasa inaongozwa kwa maelekezo ya jamii forums, selikali ya kipuuzi hii, jamani nakumbuka jana wakati tukijadili yale matapeli ya kipolisi ya tunduma yaliyopeleka sampuli ya chumvi badala ya dawa za kulevya, kuna mchangiaji aliuliza hivi!!! Mbona wezi wa milion 150 hatujawasikia hadi leo ??? Lilikuwa swali kwa nchimbi waziri wa ndani ya nyumba.cha ajabu leo kova kakurupuka bila kupiga mswaki anakuja kutueleza kufukuza hao askari.je hii ni serikali kweli???? Au mazingaombwe.
Kova ndo mwenye nayoTafadhari kama mwenye majina kamili ya wale askari wezi ayaweke hapa plz.
Mshahara wa polisi kwani shilling ngapi coz mtu kachukua 150 million unamfukuza kazi inasaidia nini
After 3 month anafukuzana na mengi mwaka ukiisha tajiri kuliko bakresa
Poor thinking capacity ya viongozi wetu ndo inaigarimu nchi
Kova kesho kutwa atawaomba rushwa hawa matajiri aliowafukuza kazi
Pumbavu
Wamerudisha hizo milioni 150 au wamefukuzwa kazi tu. Wanatakiwa walipe na kazi wafukuzwe wasipo lipa washtakiwe.
Mkuu wa Polisi Kanda maalum ya Dar es Salaam,Kamanda SULEMAN KOVA,amesema kwamba Jeshi la Polisi limewafukuza Askari Polisi Watano waliohusika na Wizi wa pesa zaidi ya shilingi Ml,150 walizoiba ktk tukio la Ujambazi lililotokea mwishoni mwa mwaka jana maeneo ya KARIAKOO!
Akizungumza na Waandishi wa Habari alisema kwamba baada ya Polisi kufanya Upelelezi pamoja na Kuwahoji baadhi ya raia waliokuwepo ktk eneo la Tukio siku ile, walijiridhisha kwamba ni ukweli kwamba Askari polisi hao watano waliiba pesa hizo!
Ndipo waliamua kuwashtaki ktk Mahakama ya kijeshi pamoja na kuwafukuza Kazi!!
Source:ITV HABARI SAA 2 USIKU!
NB:
Je hatua kuwashtaki Polisi hao ktk Mahakama ya Kijeshi pekee badala ya Mahakama ya Kiraia ni sawa??
Tayari wamevuliwa vyeo na kwamba wao sio Askari polisi tena ila ni raia wa kawaida,kama hakuna Kiini Macho,hapo je Kuna nini?
Mkuu wa Polisi Kanda maalum ya Dar es Salaam,Kamanda SULEMAN KOVA,amesema kwamba Jeshi la Polisi limewafukuza Askari Polisi Watano waliohusika na Wizi wa pesa zaidi ya shilingi Ml,150 walizoiba ktk tukio la Ujambazi lililotokea mwishoni mwa mwaka jana maeneo ya KARIAKOO!
Akizungumza na Waandishi wa Habari alisema kwamba baada ya Polisi kufanya Upelelezi pamoja na Kuwahoji baadhi ya raia waliokuwepo ktk eneo la Tukio siku ile, walijiridhisha kwamba ni ukweli kwamba Askari polisi hao watano waliiba pesa hizo!
Ndipo waliamua kuwashtaki ktk Mahakama ya kijeshi pamoja na kuwafukuza Kazi!!
Source:ITV HABARI SAA 2 USIKU!
NB:
Je hatua kuwashtaki Polisi hao ktk Mahakama ya Kijeshi pekee badala ya Mahakama ya Kiraia ni sawa??
Tayari wamevuliwa vyeo na kwamba wao sio Askari polisi tena ila ni raia wa kawaida,kama hakuna Kiini Macho,hapo je Kuna nini?
Mkuu wa Polisi Kanda maalum ya Dar es Salaam,Kamanda SULEMAN KOVA,amesema kwamba Jeshi la Polisi limewafukuza Askari Polisi Watano waliohusika na Wizi wa pesa zaidi ya shilingi Ml,150 walizoiba ktk tukio la Ujambazi lililotokea mwishoni mwa mwaka jana maeneo ya KARIAKOO!
Akizungumza na Waandishi wa Habari alisema kwamba baada ya Polisi kufanya Upelelezi pamoja na Kuwahoji baadhi ya raia waliokuwepo ktk eneo la Tukio siku ile, walijiridhisha kwamba ni ukweli kwamba Askari polisi hao watano waliiba pesa hizo!
Ndipo waliamua kuwashtaki ktk Mahakama ya kijeshi pamoja na kuwafukuza Kazi!!
Source:ITV HABARI SAA 2 USIKU!
NB:
Je hatua kuwashtaki Polisi hao ktk Mahakama ya Kijeshi pekee badala ya Mahakama ya Kiraia ni sawa??
Tayari wamevuliwa vyeo na kwamba wao sio Askari polisi tena ila ni raia wa kawaida,kama hakuna Kiini Macho,hapo je Kuna nini?
yeye bado nikamanda mkuu
wangu? lahaula!mimi ningeshasepa kwa neno la kustaafu kwa hiyari ama
kuwajibika,nchi hii!
hoja ya msingi.
Leo umeongea point
Huyu Kova anatuuzia mbuzi kwenye gunia..
Wamerudisha hizo milioni 150 au wamefukuzwa kazi tu. Wanatakiwa walipe na kazi wafukuzwe wasipo lipa washtakiwe.
Wamerudisha hizo milioni 150 au wamefukuzwa kazi tu. Wanatakiwa walipe na kazi wafukuzwe wasipo lipa washtakiwe.
vipi? kuhusu wale walioficha fedha UswisMkuu wa Polisi Kanda maalum ya Dar es Salaam,Kamanda SULEMAN KOVA,amesema kwamba Jeshi la Polisi limewafukuza Askari Polisi Watano waliohusika na Wizi wa pesa zaidi ya shilingi Ml,150 walizoiba ktk tukio la Ujambazi lililotokea mwishoni mwa mwaka jana maeneo ya KARIAKOO!
Akizungumza na Waandishi wa Habari alisema kwamba baada ya Polisi kufanya Upelelezi pamoja na Kuwahoji baadhi ya raia waliokuwepo ktk eneo la Tukio siku ile, walijiridhisha kwamba ni ukweli kwamba Askari polisi hao watano waliiba pesa hizo!
Ndipo waliamua kuwashtaki ktk Mahakama ya kijeshi pamoja na kuwafukuza Kazi!!
Source:ITV HABARI SAA 2 USIKU!
NB:
Je hatua kuwashtaki Polisi hao ktk Mahakama ya Kijeshi pekee badala ya Mahakama ya Kiraia ni sawa??
Tayari wamevuliwa vyeo na kwamba wao sio Askari polisi tena ila ni raia wa kawaida,kama hakuna Kiini Macho,hapo je Kuna nini?