Gidamnyoda
Senior Member
- Sep 9, 2024
- 110
- 213
Dah kwa mara ya kwanza toka nizaliwe mwaka 1979 ndio nimekupenda leo cocochanelKujifunza nini!!! Kosa limefanyika wange muelimisha wamuachie. Jeshi lipo na serikalini ndio inajichemsha zaidi na zaidi.
Nyota Nyota anayo Niffer.
Atayavuka haya, pesa si wachukue tu haraka wakazile sio kumsumbua mtoto wa watu.
Ana maduka kibao na hzo mall za mchongo, kwann asingetoa hela yake yy kama yy, awachangie waathirika. Ule ulikuwa ni upigaji.Kujifunza nini!!! Kosa limefanyika wange muelimisha wamuachie. Jeshi lipo na serikalini ndio inajichemsha zaidi na zaidi.
Nyota Nyota anayo Niffer.
Atayavuka haya, pesa si wachukue tu haraka wakazile sio kumsumbua mtoto wa watu.
Ana maduka kibao na hzo mall za mchongo, kwann asingetoa hela yake yy kama yy, awachangie waathirika. Ule ulikuwa ni upigaji.
Wajinga ndio waliwao.Acha wivu... Umeandika upupwu wa gredi A***
Fanya wewe uone kama watu watajitoa kuchangia kwako. Wewe si sio tapeli..
Kesho akichangisha tena utaona tena zaidi ya ya juzi kwa lolote lile
Na wewe acha akili mgando hujui biashara ya online ni lazima utangaze ndio upate wateja, unadhani manguruwe alipataje wajinga wengi vile akawatapeli ?si humu humu mitandaoni ndio wajinga walipoHuyu binti nimetafakari alipoanzia nikaona ilikuwa hivi:
1. Aliwaza peke yake "Ngoja nitume mchango kwa ajili ya maafa ya mporomoko wa Ghorofa Kariakoo.
2. Akamshirikisha mwenzi, " Nataka nitume hela kuchangia wenzetu waliobanwa kwenye vifusi Kariakoo. "
3. Mwezie akamuumga mkono.
4. Mwezie naye akamtaarifu jirani yake " jamani tunakusanya hela tuzitume Dar kwa walio athirika na maporomoko ya Ghorofa.
5. Wachangiaji wakaongezeka tena na tena na tena.
6. Awali alikuwa mmoja kwa nia njema baada ya muda wakawa wengi kwa nia njema kabisa.
7. Tatizo ni RUKSA HAWAKUPATA.
8. Bila shaka hela zote walizokwisha zichangisha wanazo wakizitoa zote bila kubakiza senti moja mmuachie hakuwa na nia mbaya.
9. Wakimtia ndani wakamfungulia mashitaka huyu binti watakuwa wamekosea kabisa moyo wa kujitolea utakuwa umefifishwa kwa amri ya serikali.
10. Binti kama alikusudia kuiba angefanya kimya kimya, kakini alijiweka wazi. " Tulipoona anachangisha bila kibali tusione yeye ni Mwizi" Binti asamehewe baada yabkuonywa hakuwa nania mbaya kwa mtazamo wangu.
Ni jambo la aibu kuona ID ya zamani meaning ni mtu mzima halafu akili imejaa tope, unakua chawa wa binti mdogo mpaka kwenye ujinga.....
Sio kila mtu anamuonea wivu huyo binti,
Infact kwa watu wenye akili timamu tunamuonea huruma, maana ni mgonjwa wa akili tu.....
Hakuna mtu timamu anachukua picha online kutafuta sympathy...
Mara ahame dini kama dozi ya malaria....
Mara adanganye vipodozi location anayonunua...
Mara apondee biashara za watu then later aje afanye...
Then ukuaji wake wa biashara na maisha binafsi havina uhalisia, hata TRA sio mlipa kodi wa level hizo..
Mtu timamu hawezi fanya hayo na mengine mengi..
Kafanya kosa acha awajibishwe iwe funzo kwake na sisi wengine...
Akitoka hapo atapunguza kiherehere.... maana hana maisha nje ya mtandao
Wewe kama jitu zima jitahidi upate akili kidogo uwe unamshauri vizuri role model wako.
Sasa hapo na ID yangu unaichambja ha ha haaaa.. Jione lia ukitaka pokea na sindano.. 💉💉💉Ni jambo la aibu kuona ID ya zamani meaning ni mtu mzima halafu akili imejaa tope, unakua chawa wa binti mdogo mpaka kwenye ujinga.....
Sio kila mtu anamuonea wivu huyo binti,
Infact kwa watu wenye akili timamu tunamuonea huruma, maana ni mgonjwa wa akili tu.....
Wakazile ivoo.
Na hiko ndio kilichowauma. Wanaona vp wao wakose chochote
Wajinga ndio waliwao.
GOD bless Tanzania 🤍Huwezi kupewa 'agizo' na mamlaka za kiserikali then ukaja kujibu mitandaoni huku ukijinasibu una jeshi nyuma yako. Pesa, mafanikio & nyota njema bila akili za kawaida (Common sense) ni sifuri. BTW Hatosumbuliwa sana ila ataipata elimu kwa njia ngumu kutokana na kutokuchunga mdomo/mikono yake. Hata huko tunapoiga demokrasia na uhuru wa kutoa maoni unapoombwa/agizwa na mamlaka za kiserikali juu ya jambo fulani huwezi kujibu kuwa una 'jeshi kubwa nyuma yako' na hata serikali inajua. Unaweza ukaitukana Serikali kadiri utakavyo lakini kamwe usijaribu 'kuitishia'.
Niffer = Mr Manguruwe.Kabisa unalia huko ulipotoa si ndio.. Sisi kwa Niffer tutatoa.
Maana vibuku vimeaumiza sanaaaa na subirini Mola wajibu bila nyie kujijua kwa roho mbaya kwa wahitaji na watu wametoa kwa Moyo mmoja kwa Imani kwa Niffer
Mfuko sasa kiasi gani wamepokea haswaa tangazo ndani ya saa moja ya kwanza!! Si umechangia au?
Niffer oyeeee
Hivi anawapora mifukoni mwao ama?Mbona amekomaliwa mno zaidi ya watajwa wa kwenye ripoti za CAG za kila mwaka?Wenye nia nzuri wapo Kariakoo kwenye tukio...............sasa huyo mwenzako yupo Dodoma anachangisha pesa...kwa maafa ya Kariakoo Dar es salaam.....huo ni utapeli
Kumiliki Mall nalo kosa..CCM bwanaAliongeza pesa kupitia michango ya janga la kariakoo ya kufunguo Mall yake Dodoma... 😀 😀
Naomba picha nimuone alivyo huko nyuma yake na hio strong army niione vizuri hapo nyuma kwakeile Strong army iliyo nyuma yake
TanzagizaTunajua kutumia miguvu mingi kwa masuala yasiyo ya msingi wakati wenzetu wanakata kauli chini ya kifusi kwakweli inaskitisha sana , narudia tena nchi hiyo ina laana flani hivi.