blogger
JF-Expert Member
- Mar 13, 2012
- 12,112
- 15,060
Angekuwa ni Bashite ndo kaagiza akamatwe ungelowa hadi xupi!Hii ni Kiki kwa utawala wamechemka sana.. Tabu hawajui wanaharibu sana kwa wananchi.
Na aliyeshupalia anafurahia sana na gesi. Huku yeye wa Maziwa ya mtoto tangu akue.
Upande wa Niffer ni jambo zuri, litapita hili.
