Waziri wa Kaskazini
JF-Expert Member
- Dec 12, 2015
- 7,981
- 17,743
Itakuwa ni kenya ndiyo kuna matukio ya ajabuHiyo kaunti ndogo ya Imenti Kaskazini iliyotajwa kwenye habari ni Tanzania au Kenya?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Itakuwa ni kenya ndiyo kuna matukio ya ajabuHiyo kaunti ndogo ya Imenti Kaskazini iliyotajwa kwenye habari ni Tanzania au Kenya?
Sema matukio yao ni kama maigizo fulani hivi yanachekesha no wonder waliwahi kuwa na vipindi kama Vitimbi Mahakamani vya akina Masaku, Masanduku, na Mama Kayaii vikichekesha kweli kweli! Vili-reflect exactly jamii ya huko.Itakuwa ni kenya ndiyo kuna matukio ya ajabu
Gazeti Gani?Duh! Hii habari inanikumbusha, niliwahi kuchora katuni/kibonzo kwenye gazeti moja hapa nchini ikionesha jambazi sugu likisema limeokoka mbele ya polisi wenye bunduki na kuwafanya polisi hao kushangaa mshangao mkuu na kudondosha bunduki zao chini wasiamini kuwa ni kweli jambazi sugu hilo limeokoka
Utakuta jamaa kauwa watu kibao na kuwaibia mali zaoHapo Polisi walitakiwa watoe pongezi na ushujaa kwa mchungaji na hata wakimpata mtuhumiwa wampongeze ikiwezekana waangalie maisha yake yalivyo kama yapo chini wampe mtaji