Polisi wamsaka aliyesalimisha silaha kanisani baada ya kuokoka

Polisi wamsaka aliyesalimisha silaha kanisani baada ya kuokoka

Itakuwa ni kenya ndiyo kuna matukio ya ajabu
Sema matukio yao ni kama maigizo fulani hivi yanachekesha no wonder waliwahi kuwa na vipindi kama Vitimbi Mahakamani vya akina Masaku, Masanduku, na Mama Kayaii vikichekesha kweli kweli! Vili-reflect exactly jamii ya huko.

Ila matukio ya kutisha na ya aibu hususan mauwaji na domestic violence yako Tanzania.
 
Hapa bongo tatizo wachungaji ni wanaa, jambazi likitubu pastor anaenda kuwatonya polisi waje walikamate jambazi hilo. Kwa mtindo huo wa kinaa kwa mapastari kutoa habari kwa polisi majambazi yataogopa kutubu kwa hofu ya kuchomewa utambi
 
Duh! Hii habari inanikumbusha, niliwahi kuchora katuni/kibonzo kwenye gazeti moja hapa nchini ikionesha jambazi sugu likisema limeokoka mbele ya polisi wenye bunduki na kuwafanya polisi hao kushangaa mshangao mkuu na kudondosha bunduki zao chini wasiamini kuwa ni kweli jambazi sugu hilo limeokoka
Gazeti Gani?

SANIFU?
 
Hapo Polisi walitakiwa watoe pongezi na ushujaa kwa mchungaji na hata wakimpata mtuhumiwa wampongeze ikiwezekana waangalie maisha yake yalivyo kama yapo chini wampe mtaji
Utakuta jamaa kauwa watu kibao na kuwaibia mali zao
Hapo akikamatwa ndio atayasema yote
 
Back
Top Bottom