Umesema video hunaiona, then unasema Binti anaumudu mchezo umejuaje km mchezo anaumudu?

We MTU! hebu nipe link nami nikachek hako ka video bhna
sijawai kuiona, ila binti aliwepekea moto.. kwa mwanamke ambae sio mambo yake usiku kucha angekuwa hoi sana.. kuna namna , ila hekima haijatumika
 
washatafuta mbinu ya kumnasua mwenzao. Mungu atamlipia dogo
 
Na baada ya kumaliza jinsi alivyokuwa anahojiwa alikuwa mtu aso hofu kabisa...
Maneno alikuwa anayatupa kweli kweli 😁
 
Kwenye ku deal na upinzani serikali ipo vizuri, wale makomando wa Jwtz wa Mbowe, walikamatwa na kuteswa sana.
 
Hajabakwa bhana na wewe usitumie hisia, yule kataka mwenyewe, abakwe asishitak police
Au wewe unawazidi wenye taaluma Yao waliochunguza
 
Kama linasimama kufananisha maudhui au lengo, neno kama sio mbadal wa neno ikiwa pekee. Tafuta kamusi ya kiswahili kwanza. Sheria haiwez kufananisha maudhui?. Mm sio mwanasheria natumia common sense
Hiyo "common sense" ndo haitumiki kwenye sheria sasa mkuu, kama huwezi kuthibitisha jambo pasi na shaka basi linabaki kuwa tuhuma tu, nothing more and nothing less.
 

Inasikitisha sana, ile video ingekuwa haina sauti nadhani mnekuwa mmesha mfungulia mashataka huyo binti. nachotafuta ni kujisafisha na kumsafisha afande wenu. Wanasheria tunamomba mlifuatilie hili swala hawa wahuni na machawa wao wapatiwe adhabu inayostahiki. Washenzi sana.
 
Wavuta bangi hawana tabia hizo acheni upotoshaji
 
Kwa namna think tank ya taifa(uviccm)wanaishauri serikali,nimekuwa nina wasi wasi sana hata mambo yanayotrend si ajabu wanayatengeneza wao kwa malengo maalum.
 
Kama mimi, kama nilimsikia waziri wake, kama akisema, kama hao vijana waliotumwa, kama na afande, kama vile.
Ni kama anambishia, waziri wake.
 
Inavyoonekana hao wabakaji walitumia mtego wa pesa kumpata huyo binti ambapo hata dada ako angewekewa ange nasa na usingemuita kahaba
 
Tangu lini rationalisation ikawa a matter of fact or a matter of truth? Kuna watu wengi wamebakwa na hawajawahi kuripoti polisi. Je, kwa rationalisation yako, mtu asiporipoti issue yake polisi huwa tukio lililotokea kwake linafutika? Is this right reasoning?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…