Polisi: Wanaotuhumiwa kubaka na kulawiti ni kama wavuta bangi, hawakutumwa na Afande, yule dada alikuwa kama anajiuza
Ndugu zangu Watanganyika
Tusimalize maneno,
Tujikumbushe hili suala la kubakwa lilitendeka mwezi April likaja kutrend mwezi August, kama kweli alibakwa kwanini muda huo hakufika police kushitaki,
Me hili suala nishalitilia shaka hata kipindi habari zake zinaanza kutoka.

Huyu Binti hajabakwa ni kama alitaka mwenyewe,
Wale vijana ni kama walimlipa ili kumpiga mande na kukubaliana kurecord ivo
Kujamiiana kikahaba laZima lugha chafu na kaubabe kapite, wale hawakuwa wanafanya sex kistaarabu.

Tujiulize maswali,Yule Binti aliingiaje geto Kwa wale vijana, na wale vijana wambake yule Binti Kwa sababu zipi na wanawake wamejaa mjini,
Unaweza japo kuona muonekana wa yule Binti unaoneka sio wa Binti mwenye maadali mema.

Jeshi la police Lina intelejensia kali, halishindwi kupata ushahidi mdogo kama huo, naamini police wanaona kama Binti alilidhia mwenyewe Sasa hapo alibakwaje?
Kabla hujazeeka utashuhudia binti yako akiambukizwa ukimwi
 
Hizo "kama" "kama"' mbona nazo kama zinaleta walakini!?
 
Na aliyetoa hiyo taarifa ni mwanamke,RPC Theopista Mallya......adui wa mwanamke ni mwanamke mwenyewe
 
Hii nchi imeoza.
Tumefika kubaya sana.
Hum ndan kuna ubepar uliokomaa. Mwehu yule kapat Jwtz.. kila mtu atakuj kufanya kaz ya baba. Anglia wanasiasa.. na bila kuwa mbabe/nguvu haki yako utakosa.. Clinton n baba yake shule ya mbagala kuu wamesumbua sana. Mana mzee alikuwa anakuja shule kupiga mikwara walimu
 
Ili ku justify ujinga na uongo wako umeona uvute nyuma kidoooogo kutoka may hadi April kuonesha ni tukio la zamaaaaaaani
 
Kwa hiyo huo mwonekano ndio justification kuwa hawezi kubakwa?
video inajieleza kuwa alikuwa akipewa adhabu which mean alifanya bila hiari yake.
ni wasichana wangapi wanabakwa hawasemi.
wasichana wangapi wanapigwa mande hawasemi, sio jambo rahisi kama unavyofikiria wewe kwa sababu ya aibu inayoambatana na jambo hilo.
mfano wale jamaa waliombaka wewe hapo na wengi mnaona hawajapata aibu kwa zile video aliyeabika ni mdada pekee. hii pia hutokea pale video ya watu waliokubaliana wakafanya ngono na video ikavuja anayeaibika zaidi huwa ni mwanamke si mwanaume na ndio sababu wanaobakwa hawasemi.
 
Wanatunga uongo ambao hata mtoto mdogo hawezi kudanganywa hivyo
 
Yule binti alifanya kitu kinachoitwa 'kama huwezi kushindana nae basi ungana nae'

Alipoona wale njemba akiwakatalia watamuumiza akaamua kufanya vile wanataka ndio maana kila kitu alikifanya kwa ustadi wa hali ya juu

Ila alibakwa na sio kitu cha kuchekea, Mapolisi washalaaniwa kitambo
 
Keyword "KAMA", hilo neno tayari limeshabeba walakini na sheria haitakiwi kuwa hivyo. Anything that can't be proven beyond reasonable doubt, has loopholes.
Kama linasimama kufananisha maudhui au lengo, neno kama sio mbadal wa neno ikiwa pekee. Tafuta kamusi ya kiswahili kwanza. Sheria haiwez kufananisha maudhui?. Mm sio mwanasheria natumia common sense
 
hata kama alikua anatoa ushirikiano lkn haikua sahihi inaonekan kbsa wamemlazmsha
Wewe...kama vedeo uliona utajua namaanisha nini..??
Huyo dada inaonekana ilikuwa michezo yake ameshakubuu
Yani mtu uingiliwe kinyume na maumbile Tena na 5mens uwe katika situation hiyo...unapata.wapi nguvu ya kukata mauno??
Hata kama ingekuwa ameingiliwa mbele...kitendo cha kutoa ushirikiano na kutoonyesha kutumia kwa kuingiliwa nyuma
Kimempunguzia credit ya kuaminiwa ...
 
Back
Top Bottom