Eti Jeshi la Polisi linajinasibu kwa kuikataa kauli ya RPC, kama hawamjui vile.... [emoji2][emoji2][emoji2]
Siku hizi tumekubaliana mtumishi wa umma ukilikoroga unalinywa mwenyewe!![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kama tukio lilitokea mei maana yake bint hakutoa taarifa popote na hakuna uchunguzi wa kiforensia uliofanyika.

Kesi itakuwa ngumu sana upande wa dada
Ulishawahi kuangalia vipindi vya Forensic Detective kwenye Discovery Channel
Watu wanakamatwa wameshazeeka baada kufanya mauaji miaka zaidi ya 30 iliyopita na wanafungwa
Wakati hii kuna video kabisa ya ushahidi
Kweli Dudubaya hajakosea aliposema watu hawana elimu ya haki zao, kutwa kucha ni simba na yanga
 
Kuwa chawa inabidi ujitoe ufahamu sana
 
Hivi ni miki tu nikifungua uzi
Unakuja

Mbona sielewi hapa JF
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…