Blackcornshman JF-Expert Member Joined Aug 25, 2016 Posts 6,514 Reaction score 15,701 Jul 2, 2021 #21 Simba lazima wapigwe goli tatu.Goli tatu muhimu.Dar young Africans forever.
tyc JF-Expert Member Joined Feb 25, 2014 Posts 1,179 Reaction score 2,971 Jul 3, 2021 #22 rodrick alexander said: Polisi wajinga utafungaje barabara kuanzia Veta, sasa hivi kuna ujenzi unaendelea mbgala foleni ni kubwa halafu wanataka kuongeza foleni Click to expand... Kipande cha barabara kinachofungwa ni pale kuanzia kona ya kuelekea uwanja wa Taifa ( kona ya Duce) kutokea Veta,, hvyo barabara ya kutoka Veta mpaka kuelekea Jitegemee Sekondari itakuwa wazi Kwenye maelezo ya sauti imefafanuliwa vizuri kabisa
rodrick alexander said: Polisi wajinga utafungaje barabara kuanzia Veta, sasa hivi kuna ujenzi unaendelea mbgala foleni ni kubwa halafu wanataka kuongeza foleni Click to expand... Kipande cha barabara kinachofungwa ni pale kuanzia kona ya kuelekea uwanja wa Taifa ( kona ya Duce) kutokea Veta,, hvyo barabara ya kutoka Veta mpaka kuelekea Jitegemee Sekondari itakuwa wazi Kwenye maelezo ya sauti imefafanuliwa vizuri kabisa
cabo JF-Expert Member Joined Jun 15, 2016 Posts 4,756 Reaction score 5,250 Jul 3, 2021 #23 Eeehh bhana maana hamchelewi
Lihakanga JF-Expert Member Joined Dec 17, 2016 Posts 4,823 Reaction score 6,416 Jul 3, 2021 #24 rodrick alexander said: Polisi wajinga utafungaje barabara kuanzia Veta, sasa hivi kuna ujenzi unaendelea mbgala foleni ni kubwa halafu wanataka kuongeza foleni Click to expand... Ni busara sana kuwa na njia moja huru kwa ajili ya dharura endapo kutatokea matatizo iwe rahisi kutoka kwa haraka.
rodrick alexander said: Polisi wajinga utafungaje barabara kuanzia Veta, sasa hivi kuna ujenzi unaendelea mbgala foleni ni kubwa halafu wanataka kuongeza foleni Click to expand... Ni busara sana kuwa na njia moja huru kwa ajili ya dharura endapo kutatokea matatizo iwe rahisi kutoka kwa haraka.