Polisi wathibitisha Katibu wa Masanja kajinyonga. Mke wa Masanja alienda kwake kumuonya asiwe anamtumia meseji za mapenzi

Hadi ameenda na mama mtu mzima maana yake ni kuwa jamaa alikuwa king'ang'anizi. Na mke alikuwa na nia ya dhoti ya kuacha alichokuwa anafanya. Monica anastahili msamaha.
Si kirahisi,
Ila wanaume wengi wanaopost sana kuhusu wake zao, ni wadhaifu sana, wanatumia mitandao kuficha udhaifu wao

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Haiingii akilini mtu ajinyonge kisa kakataliwa na mke wa mtu.
 
kama mwanamke alimkataa k'mapenzi kuna siku hata moja amewahi kumuambia mumewe kua katibu anasumbua toka wanatongozana ???

mwanamke kama hajakuelewa lazima amwambie mumewe ila kama alikaa kimya mpaka kajamaa kakajidedisha maana yake aliliwa.

watalaamu wenzangu mtakua mnanielewa
 

Attachments

  • 43F0539A-9443-43C5-B483-A013B6393D9C.jpeg
    18.9 KB · Views: 6
Asee naona harufu ya moto police hawazungumzii habari ya mazingira ya mtu kujiuwa. hiyo barua nani hasa aliipata kwa mara ya kwanza? na nikwanini ikasambaa kwa haraka hivyo? mi naona kuna mchezo unachezwa hapa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…