Polisi wathibitisha Katibu wa Masanja kajinyonga. Mke wa Masanja alienda kwake kumuonya asiwe anamtumia meseji za mapenzi

kwann umfate mtu anaekutongoza kwake? kwann kama hicho kitendo hakikumpendeza hakumweleza mumewe ambae ni boss wa huyo katibu mbona ni kama alikuwa anataka kuchomoa na mzigo upo ndani tayari ndomana alitumia njia ya kwenda kwake na mala....y mwenzake kwann alifanya siri kwa mume wake kama sio alikuwa anagogwa akataka kukatisha utamu na kijana alikuwa amenogewa..
 
Mbona waraka anasema penzi limekatishwa

Sent from my SM-A217F using JamiiForums mobile app
 
Kinacho takiwa hapa ni Masanja na Mke wake wahojiwe kwa kina juu ya sakata hili, maaana inaonekana limekubikwa na utata sana.
Mke ndiyo wa kuhojiwa
Labda kama mke alishawahi
Mwambia mme wake kama katibu
Anammendeaga

Ova
 
Kama katibu alikuwa anakurupuka kumtumia jumbe fupi na mwanamke asingekuwa interested, angemwambia mmewe.

Yawezekana walikuwa na uhusiano na mama mccuccu akafikia mwisho. Lakini bado sidhani kama inaweza kuwa sababu ya kujinyonga.
 
kwann amfate kwake na sio kuanza kumweleza mumewe ili amkanye kwann alikuwa kama anamlinda hivi kama sio alishampa alafu akataka mnyima na kijana alishakolea?
Mbona marehemu amebainisha kwenye wosia kwamba penzi la mama mchungaji limemchanganya hajawahi pata na hategemei kupata ndio mana ameamua kujitanguliza..
 
Halafuu unawezajee kufungaa safari kwa mtu anayekutongozaaa?..Kama ingekuwaa ni hivyooo huko barabarani kungekuwaa hapatoshi kwa safarii za kwendaa kukataaa mitongozooo...Kuna kitu hakipoo sawaaa na why nyumbanii na sio kanisan sehemuu ambayoo wotee wanahudumuu?..mwanamkee mwezetuu amepuyangaaaa🙌
 
Habari haisemi mwanamke amefanya any cheating au sijaelewa, au kutongozwa nalo ni kosa?
 
Utaishia jela tuu na kama una watoto utawaharibia maisha yao kwa vihasira vya kipuuzi, mke au mume akitoka nje ya ndoa na mapenzi yameisha achana naye tafuta mwingine oa, kama bado unampenda msamehe maisha yaendelee, haya mambo ya kupiga au kuuana ni kujiongezea mabalaa zaidi katika maisha yako na familia yako
 
Ni rahisii mnooo kumkataaa mtuu ambayee anakutongozaa na ajakukulaa...lkn ni vigumuu kumkataaa na kumshawishii mtu aliyekukulaa na akakuelewaa vilivyoooo..hapoo ndiooo ushawishi wa ziadaa unatakiwaaa kufanyikaaaaa ndichoo alichokifanyaa bibieeee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…