Polisi wathibitisha Katibu wa Masanja kajinyonga. Mke wa Masanja alienda kwake kumuonya asiwe anamtumia meseji za mapenzi

Inawezekana Kweli masanja kamuua baada ya kugundua jamaa anamgongea alafu akaandika meseji kutengeneza mazingira jamaa aonekane kajiua, haiwezekani mtu ujiue kisa mke wa mtu na wakati mwanzo ulikua unakula ukijua kabisa siyo mali yako
Na muhusika namna anamzungumzia mke wake kwa sasa napata mashaka, inawezekana vp katibu wako afe unarudi unakenua kweli kweli mara kumpost mkeo mara matap tap
 
Maswali fikirishi;Je mke wa Masanja aliwahi kumwambia mumewe juu ya usumbufu huu?

Na kama tayari,kwanini alienda hadi nyumbabi kwa marehemu kumzuia asiendeleze sms zake?

Na kama hakuwahi kumlalamikia mumewe jambo hili hadi linafikia hivi ni kwa nimi?

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
 
Jamani connection Kama, mbona wachoyo wajamaeni
 
Yaaani weledi wa police umeishia hapo Very sad. Wasomi wa investigation police hawapo, hawataki kuchosha akili zao, et kajinyonga kwa sababu ya tundu la mke wa mtu.
 

Attachments

  • IMG-20221013-WA0053.jpg
    68.1 KB · Views: 16
 

Attachments

  • VID-20221013-WA0091.mp4
    926.3 KB
Hapa Kuna ukakasi mwingi.Hivi mtu akimtongoza mwanamke,mwanamke anachukua jukumu la kumfuata nyumbani kwake kumkanya? Huyu ni mama Mchungaji,huyu ni katibu wa kanisa hilohilo moja,mbona asimuonyee kanisani mbele ya wazee wa kanisa na mashemasi?
 
Hili nalo limepita japo Mchungaji Masanja kaamua ku - keep low profile
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…