Polisi wathibitisha Katibu wa Masanja kajinyonga. Mke wa Masanja alienda kwake kumuonya asiwe anamtumia meseji za mapenzi

Ndugu, nikwambie tu kwamba wapo wanaosamehe maana na wao mbele za mungu ni wakosaji wanacheat na kula wake za watu.
Ni mnafiki pekee ambaye hata msamehe mke wake ingali na yeye ni good cheater.
Masanja kaamua asiwe mnafiki. Huo ndo uanaume.
 
Katibu utamu alioupata hakuna sehemu nyingine aliwahi pata. Ndio shida ilipo.
 
Mapenzi ya hawa wawili yalikuwa yanavuka mipaka, mke wa Masanja dizaini akamuonya marehemu hakutaka kusikia, suala la kwenda kwa marehemu na mama mwingine ni wazi msukuma alimuamini sana huyo mama so akamshirikisha ili amsaidie kutatua tatizo, bahati nzuri jambo likaisha kwa staili hii. HUYO MSUKUMA NI MSHENZI NA MZINZI, PERIOD.
 
Linapona ukimtimua ila ukibaki naye kama sie, huwezi kumthamini tena. Mnaishi ili mradi tu.
Haliwezi kupona mmeshazaa watoto wanawaunganisha.
Utamuona na kumsikia utake usitake.
 
Inawezekana Kweli masanja kamuua baada ya kugundua jamaa anamgongea alafu akaandika meseji kutengeneza mazingira jamaa aonekane kajiua, haiwezekani mtu ujiue kisa mke wa mtu na wakati mwanzo ulikua unakula ukijua kabisa siyo mali yako

Kweli Polisi mkamateni Masanja na Monica ,Masanja atakuwa kamuua Katibu wake,ukiwa unaangalia ID Channel hayo mambo yapo sana.
 
Ahahahahha mkuu unazingua

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwahiyo walikuwa kwenye uhusiano Ila mama mchungaji akaona avunje uhusiano? Kazi kweli kweli
 
Endelea kushupaza shingo ya wanawake wenzio zamu yako inakuja!

Omba Sana , Cheka Sana Ila usiombe yakukute
 
Haliwezi kupona mmeshazaa watoto wanawaunganisha.
Utamuona na kumsikia utake usitake.
Huelewi hapo! Ukiwa huko naye, hii haikuumi maana mlimalizana. Ukiwa naye inauma maana akitoka unadhani keshakwenda kunyanduliwa. Ukikutana na mwanaume yeyote akasema mkeo anamfahamu, unaaza kujishuku kuwa pengine K ya mke wako ashainawia hata miguu. Ni ngumu kidogo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…