Polisi wathibitisha Katibu wa Masanja kajinyonga. Mke wa Masanja alienda kwake kumuonya asiwe anamtumia meseji za mapenzi

Polisi wathibitisha Katibu wa Masanja kajinyonga. Mke wa Masanja alienda kwake kumuonya asiwe anamtumia meseji za mapenzi

Hii imehifadhiwa na wahafidhina tayari masanja a play good kisiasa,

Once ana step nje ya mfumo wa sisiemu hili sakata litaibuliwa na ushahidi utawekwa wazi na masanja atapotezwa

Haitokaa Itokee…Hakuna Wa kumuweza Masanjaa
 
Nitakuwa wa Mwisho kuamini kuwa Mtu anaweza kujinyonga kwa ajili ya Mke wa Mtu. Aiseee hapana, hiyo haiwezekani.

Kujinyonga kwa Mke wako naweza nikakubali, ila kwa mke wa mtu. Hiyo kwangu ni Big no
Katibu alisahau kuwa mke wa mtu sumu,ona sasa sumu imemuua, na hiyo ndoa ya mchungaji Haina huai Tena ,tutaipa miaka2 mbele ya mbinde mbinde Hadi kuachana Ila kama mtumishi kausika na wife anajua basi kwa kipindi hiko mama mchungaji nae atakua marehemu,
DONDA LA USALITI HALIPONI KWA MWANAUME
 
Hivi unadhani ni kweli amemsamehe?
Lazma aishi nae atake asitake mana kwanza alikua na tambo za kutosha kuhusu mkewe lakini pili akimuacha atauhakikishia uma kuwa mkewe kachepuka and it will be really bad for him especially yeye anaejulikana kama pastor...
True, sasa wataishi ukitaka Kaa ukitaka ondoka sio tabu,(moyoni) Bora niwe pekeyangu kuliko kua na msaliti

NB: Hukumu ya msaliti ni. Kifo tuu
 
True,sasa wataishi ukitaka Kaa ukitaka ondoka sio tabu,(moyoni) Bora niwe pekeyangu kuliko kua na msaliti


NB
Hukumu ya msaliti ni. Kifo tuu

Sure Naunga Mkono hoja…
Mwanamke aki cheat Auliwe…
Sisi wanaume Hata Tukicheat Tuachwe tusiguswe!Over
Au Sio Sahihi?[emoji2368]
 
Sisi Tukicheatiwa Inauna Mnooo kuliko Mwanamke…
Hivyo Akitembea Nje ya ndoa tuu Mfanye kitu Mgoni wako Ajiue Mwenyewe halafu aandike na Usia[emoji30][emoji1787][emoji2368]
 
We jamaa nimefungua uzi kwa nguvu nikute ukiwahoji pro-mchu maswali ya kiupelezi juu ya hiyo homicide umeenda kutafuta picha? Fanya haraka uje
 
Katibu alisahau kuwa mke wa mtu sumu,ona sasa sumu imemuua, na hiyo ndoa ya mchungaji Haina huai Tena ,tutaipa miaka2 mbele ya mbinde mbinde Hadi kuachana Ila kama mtumishi kausika na wife anajua basi kwa kipindi hiko mama mchungaji nae atakua marehemu,
DONDA LA USALITI HALIPONI KWA MWANAUME
Kweli Kabisa
 
Kupitia Clouds FM Polisi jijini DSM wamethibitisha kuwa katibu wa kanisa la Masanja amefariki kwa kujinyonga kwa uchunguzi wa awali.

Kamanda anasema ni kweli siku moja kabla ya kifo cha Katibu, mke wa Masanja alienda nyumbani kwa Katibu akiwa na mama mtu mzima kumwambia hataki uhusiano naye na asimtumie sms za mapenzi. Kamanda akaendelea kusema ni kweli kulikuwa na mawasiliano kati ya marehemu Katibu na mke wa Masanja.

Polisi wanasema kwa uchunguzi wa awali unaonyesha Katibu alijinyonga kwa sababu ya mapenzi lakini bado wanaendelea na uchunguzi.

========================

Polisi wamesema uchunguzi wa awali yanaonesha Joas Steven alipata mfadhiko na kujiua kwa kujinyonga.

Kamanda wa Polisi wa Kanda ya Maalum Dar es Salaam, Muliro Jumanne amesema pia mawasiliano kati ya marehemu na anayedaiwa kuwa ni mke wa Masanja (Emmanuel Mgaya) yalifanyika kwa simu.

Amesema “Mawasiliano yanaonesha marehemu alikuwa akiomba mahusiano ya kimapenzi, pia siku moja kabla ya tukio mke wa Masanja akiwa na mwanamke mwingine walienda nyumbani kwa marehemu kumueleza kuwa hataki meseji za aina hiyo na hataki uhusiano.”

Kamanda Muliro ameongeza, “Mtiririko wa visa hivyo unatoa nafasi kuwa alipata mfadhaiko akajinyonga, lakini hata hivyo bado uchunguzi unaendelea kwa kuwa huo ni ushahidi wa awali.”


View attachment 2376847
Mchungaji Masanja Kulia akiwa na Marehemu.

View attachment 2376956
Sauti ya Kamishna wa Polisi (ACP) Muliro Jumanne​
Mipolisi ya nchi hii ni mijitu ya ajabu sana. Wanathibitisha kwani wao ni madaktari? Mbwa wakubwa!
 
Polisi wanasema kwa uchunguzi wa awali unaonyesha Katibu alijinyonga kwa sababu ya mapenzi lakini bado wanaendelea na uchunguzi.
Hawa poliCCM ni zaidi ya mbwa. Wanawezaje kutoa kauli kama hii pasipo kufanya uchunguzi wa kina na kujiridhisha kuhusu mauaji haya yaliyofadhiliwa na Masanja? Bure kabisa mbwa koko!
 
Back
Top Bottom