Guselya Ngwandu
Member
- Sep 17, 2021
- 39
- 84
Tulioko Mwanza tumeshuhudia, Polisi wanatii maelekezo ya Rais Samia Suluhu anayetaka viongozi na wanachama wa upinzani wapewe ulinzi wa kutosha wakitimiza haki zao za Kidemokrasia.
Mika michache hapo nyumba tuliona viongozi wa upinzani wakikamatwa kila walipojaribu kusimama hadharani kufanya siasa, kinyume chake kina Mbowe walipokuja Mwanza, Polisi wamewaongoza kutoka uwanja wa ndege hadi hotelini, viongozi hao wanalindwa kila mahali.
Tunaamini watatumia vizuri uhuru huu, tunaamini watafanya siasa za kistaarabu kwa maslahi ya nchi.
Mika michache hapo nyumba tuliona viongozi wa upinzani wakikamatwa kila walipojaribu kusimama hadharani kufanya siasa, kinyume chake kina Mbowe walipokuja Mwanza, Polisi wamewaongoza kutoka uwanja wa ndege hadi hotelini, viongozi hao wanalindwa kila mahali.
Tunaamini watatumia vizuri uhuru huu, tunaamini watafanya siasa za kistaarabu kwa maslahi ya nchi.