bongo dili
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 12,350
- 25,180
Sio afrika lakini.Kwa hiyo sisi tumeamua kuwa hivi ili kulinda maslahi ya matumbo ya polisi?! Kama tunashindwa kumanage nchi kwa sababu ni kubwa si tuwagawie wengine tubaki na kanchi kadogo kama wilaya ili iwe manageable?;
By the way zipo nchi ngapi Duniani ambazo ni kubwa kubwa lakini zina mifumo Imara?
Huku Sheria moja lakini ina dabo standard