Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wasikuchoshe wewe na nani? ondoa kihere here.Wasituchoshe watz, nia yao ni kuvuruga amani. Kama wanaona wameonewa kwenye uchaguzi waende kwa mabeberu washitaki, tuone kama watanyima misaada.
Kuhamasisha maandamano ni kuleta taharuki isiyo na sababu kwa wananchi.
Ni mjinga pekee anayeweza kuharibu ushahidi muhimu kama huo...#CHADEMANIBONGOMUVIKila Jambo uwa na mwanzo wake.
Kwa hyo kuiba kura HAKULETI TAHARUKI KWA WANANCHI?.View attachment 1617829
Kwa mujibu wa uzi wako aliyekwambia huna future ni mwanamke wako, me nilicho kuuliza ushapata hiyo future au ndio unapambana Jf kupata buku 7 ukaoe?Kwani future unaitafuta mwenyewe au unatafutiwa. Kila binadamu kapewa akili na Mungu, tuache kutegemea akili za wenzetu.
Ni mjinga pekee anayeweza kuharibu ushahidi muhimu kama huo...#CHADEMANIBONGOMUVI
Wasituchoshe watz, nia yao ni kuvuruga amani. Kama wanaona wameonewa kwenye uchaguzi waende kwa mabeberu washitaki, tuone kama watanyima misaada.
Kuhamasisha maandamano ni kuleta taharuki isiyo na sababu kwa wananchi.
Mbona hamuongelei haki, kitu ambacho ni moja ya misingi ya katiba ya nchi?Wasituchoshe watz, nia yao ni kuvuruga amani. Kama wanaona wameonewa kwenye uchaguzi waende kwa mabeberu washitaki, tuone kama watanyima misaada.
Kuhamasisha maandamano ni kuleta taharuki isiyo na sababu kwa wananchi.
Wananchi wamewakataa kabisa , wanataka kuichafua njia nyingine kuichafua nchi, asiyekubali kushindwa si mshindani wanadhani wananchikuwa hawajawaelewa ndio hata maandamano wananchi hawataki.
Usipoambiwa kuwa wewe ni mjinga!! Utakubuhu wewe!!Lazima dunia itutenga na kuchukua hatua maana tumekuwa primitive kupita kiasi.