Etwege
JF-Expert Member
- Jul 4, 2018
- 7,207
- 17,674
Laana ya Dr Slaa itawamaliza chademaLazima dunia itutenga na kuchukua hatua maana tumekuwa primitive kupita kiasi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Laana ya Dr Slaa itawamaliza chademaLazima dunia itutenga na kuchukua hatua maana tumekuwa primitive kupita kiasi.
Kwanini usizungumzie nafsi yako? Mimi kama mimi nataka maandamano ya kupinga huo ushindi feki chini ya jiwe. Huyu jamaa nampa laana zote zilizo dunianiSwali la Msingi.
Hivi mtu aliyekupigia kura ambayo unasema imeibiwa umwambie aandamane halafu ashindwe kuandamana ina make sense kweli?? La hasha nina wasiwasi yamkini vyama vya upinzani wao ndio wameiba hizo kura walizozipata. Hakuna mtu anayeibiwa ahalafu ashindwe kutafuta kitu chake kilichoibiwa.
Tanzania Hatutaki Maandamano
Hahahahha kamanda acha hizo bana. Kumbe ni maandamano ya mioyoni?Kimsingi lengo la maandamano limetimia
Umeandamania upande gani? Tuambie hapaKwanini usizungumzie nafsi yako? Mimi kama mimi nataka maandamano ya kupinga huo ushindi feki chini ya jiwe. Huyu jamaa nampa laana zote zilizo duniani
Kwani hujajifunza polisi wa kukamatwa na kwa mwanamke lzm akatwe mtama ili apigwe pingu hapa bongo wao polisi oyaoya una uwezo wa kutoa mpaka maneno ya shombo wanakuangalia jifunze mzee.Hii ni hatari kubwa!
Ndio maana wazungu huwa wanatudharau, Utakuta jambo la kufanya kistaarabu na kwa kutumia muda na nguvu ndogo tu, Sisi waafrika tunahangaika vibaya mno na hata kutumia rasilimali nyingi isivyostahili! Donald Trump aliwahi kuwaponda viongozi wa Afrika akisema ....Give them weapons and they will kill themselves instead of fighting their enermies!
Hili tumeliona hata kwa serikali na CCM, wametumia nguvu na gharama kubwa sana za uchaguzi wakati kumbe mkononi walishaandaa njia ya mkato ya kushinda uchaguzi kwa asilimia zote! Wastage of time and resources!
After all; jesh la polis wanapaswa kufahamu kuwa kuitisha maandamano sio kosa bali kosa ni kuandamana bila kibali. Pia kosa la kuandamana bila kibali adhabu yake sio kupigwa mabomu wala au kudhuriwa kwa namna yoyote bali, adhabu yake ni kushtakiwa na mahakama ndio itowe uamuzi kama wahusika wana hatia au lah!
Kinyume cha hapo ni kujichukulia sheria mkononi huku jeshi lenyewe likijuwa fika kuwa katika suala zima la wananchi kuandamana, jukumu la jeshi sio kutoa kibali cha kuruhusu au kutoruhu maandamano bali ni kutoa ulinzi kwa waandamanaji!
Taaruki inakuja njaa inapouma,uchumi wa mtu mmoja mmoja unapoharibika,tangu 2015,tunaisoma namba,Kuna watu wanaendesha maisha yao kwa kuuza data/bundle,sasa mtandao. Umezimwa utafikiri nchi ipo vitani,wewe huoni Kama hiyo ni chanzo Cha taaruki kabisaWasituchoshe Watanzania, nia yao ni kuvuruga amani. Kama wanaona wameonewa kwenye uchaguzi waende kwa mabeberu washitaki, tuone kama watanyima misaada.
Kuhamasisha maandamano ni kuleta taharuki isiyo na sababu kwa Wananchi.
Wewe unachoshwa na mumeo unakuja kusingizia wengine hapaWasituchoshe Watanzania, nia yao ni kuvuruga amani. Kama wanaona wameonewa kwenye uchaguzi waende kwa mabeberu washitaki, tuone kama watanyima misaada.
Kuhamasisha maandamano ni kuleta taharuki isiyo na sababu kwa Wananchi.
Tulia wewe mammalia beberu limeshasema waachiwe bisheni muone mipini itakavyozama kunakoSwali la Msingi.
Hivi mtu aliyekupigia kura ambayo unasema imeibiwa umwambie aandamane halafu ashindwe kuandamana ina make sense kweli?? La hasha nina wasiwasi yamkini vyama vya upinzani wao ndio wameiba hizo kura walizozipata. Hakuna mtu anayeibiwa ahalafu ashindwe kutafuta kitu chake kilichoibiwa.
Tanzania Hatutaki Maandamano
Trump aliziita nchi zetu za Afrika 'shit hole countries'..tukapiga keleleHii ni hatari kubwa!
Ndio maana wazungu huwa wanatudharau, Utakuta jambo la kufanya kistaarabu na kwa kutumia muda na nguvu ndogo tu, Sisi waafrika tunahangaika vibaya mno na hata kutumia rasilimali nyingi isivyostahili! Donald Trump aliwahi kuwaponda viongozi wa Afrika akisema ....Give them weapons and they will kill themselves instead of fighting their enermies!
Hili tumeliona hata kwa serikali na CCM, wametumia nguvu na gharama kubwa sana za uchaguzi wakati kumbe mkononi walishaandaa njia ya mkato ya kushinda uchaguzi kwa asilimia zote! Wastage of time and resources!
After all; jesh la polis wanapaswa kufahamu kuwa kuitisha maandamano sio kosa bali kosa ni kuandamana bila kibali. Pia kosa la kuandamana bila kibali adhabu yake sio kupigwa mabomu wala au kudhuriwa kwa namna yoyote bali, adhabu yake ni kushtakiwa na mahakama ndio itowe uamuzi kama wahusika wana hatia au lah!
Kinyume cha hapo ni kujichukulia sheria mkononi huku jeshi lenyewe likijuwa fika kuwa katika suala zima la wananchi kuandamana, jukumu la jeshi sio kutoa kibali cha kuruhusu au kutoruhu maandamano bali ni kutoa ulinzi kwa waandamanaji!
Wasingetishwa na majeshi wangeandamana.Swali la Msingi.
Hivi mtu aliyekupigia kura ambayo unasema imeibiwa umwambie aandamane halafu ashindwe kuandamana ina make sense kweli?? La hasha nina wasiwasi yamkini vyama vya upinzani wao ndio wameiba hizo kura walizozipata. Hakuna mtu anayeibiwa ahalafu ashindwe kutafuta kitu chake kilichoibiwa.
Tanzania Hatutaki Maandamano
Hii kweli ni kituko sana. Kumbe ilikuwa wakae tu ndani wanywe kahawa halafu siku ya siku wanajitangaza kama walivyofanya.Nimeipenda Hii "CCM, wametumia nguvu na gharama kubwa sana za uchaguzi wakati kumbe mkononi walishaandaa njia ya mkato ya kushinda uchaguzi kwa asilimia zote! Wastage of time and resources!"
Acha kuwa na akili ya kilofa wewe, ukitishwa umuache mumeo utamuacha?Wasingetishwa na majeshi wangeandamana.
Upuuzi mtupu, kama ndio nia yenu hiyo imekula kwenu. Tiini sheria bila shurti, otherwise kichapo.Lazima dunia itutenga na kuchukua hatua maana tumekuwa primitive kupita kiasi.
Kuiba kura ndio kutii sheria?Majambaza wakubwa nyie!Upuuzi mtupu, kama ndio nia yenu hiyo imekula kwenu. Tiini sheria bila shurti, otherwise kichapo.
Primitive ni wewe jomba, unayedhani demokrasia ni mpaka wewe ndiye utangazwe mshindi.Lazima dunia itutenga na kuchukua hatua maana tumekuwa primitive kupita kiasi.