Polisi wavamia Ofisi za ACT-Wazalendo Vingunguti alizokuwepo Zitto Kabwe

Polisi wavamia Ofisi za ACT-Wazalendo Vingunguti alizokuwepo Zitto Kabwe

Swali la Msingi.
Hivi mtu aliyekupigia kura ambayo unasema imeibiwa umwambie aandamane halafu ashindwe kuandamana ina make sense kweli?? La hasha nina wasiwasi yamkini vyama vya upinzani wao ndio wameiba hizo kura walizozipata. Hakuna mtu anayeibiwa ahalafu ashindwe kutafuta kitu chake kilichoibiwa.
Tanzania Hatutaki Maandamano
Kwanini usizungumzie nafsi yako? Mimi kama mimi nataka maandamano ya kupinga huo ushindi feki chini ya jiwe. Huyu jamaa nampa laana zote zilizo duniani
 
Hii ni hatari kubwa!

Ndio maana wazungu huwa wanatudharau, Utakuta jambo la kufanya kistaarabu na kwa kutumia muda na nguvu ndogo tu, Sisi waafrika tunahangaika vibaya mno na hata kutumia rasilimali nyingi isivyostahili! Donald Trump aliwahi kuwaponda viongozi wa Afrika akisema ....Give them weapons and they will kill themselves instead of fighting their enermies!

Hili tumeliona hata kwa serikali na CCM, wametumia nguvu na gharama kubwa sana za uchaguzi wakati kumbe mkononi walishaandaa njia ya mkato ya kushinda uchaguzi kwa asilimia zote! Wastage of time and resources!

After all; jesh la polis wanapaswa kufahamu kuwa kuitisha maandamano sio kosa bali kosa ni kuandamana bila kibali. Pia kosa la kuandamana bila kibali adhabu yake sio kupigwa mabomu wala au kudhuriwa kwa namna yoyote bali, adhabu yake ni kushtakiwa na mahakama ndio itowe uamuzi kama wahusika wana hatia au lah!

Kinyume cha hapo ni kujichukulia sheria mkononi huku jeshi lenyewe likijuwa fika kuwa katika suala zima la wananchi kuandamana, jukumu la jeshi sio kutoa kibali cha kuruhusu au kutoruhu maandamano bali ni kutoa ulinzi kwa waandamanaji!
Kwani hujajifunza polisi wa kukamatwa na kwa mwanamke lzm akatwe mtama ili apigwe pingu hapa bongo wao polisi oyaoya una uwezo wa kutoa mpaka maneno ya shombo wanakuangalia jifunze mzee.

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
 
Nimeipenda Hii "CCM, wametumia nguvu na gharama kubwa sana za uchaguzi wakati kumbe mkononi walishaandaa njia ya mkato ya kushinda uchaguzi kwa asilimia zote! Wastage of time and resources!"
 
Wasituchoshe Watanzania, nia yao ni kuvuruga amani. Kama wanaona wameonewa kwenye uchaguzi waende kwa mabeberu washitaki, tuone kama watanyima misaada.

Kuhamasisha maandamano ni kuleta taharuki isiyo na sababu kwa Wananchi.
Taaruki inakuja njaa inapouma,uchumi wa mtu mmoja mmoja unapoharibika,tangu 2015,tunaisoma namba,Kuna watu wanaendesha maisha yao kwa kuuza data/bundle,sasa mtandao. Umezimwa utafikiri nchi ipo vitani,wewe huoni Kama hiyo ni chanzo Cha taaruki kabisa
 
Wasituchoshe Watanzania, nia yao ni kuvuruga amani. Kama wanaona wameonewa kwenye uchaguzi waende kwa mabeberu washitaki, tuone kama watanyima misaada.

Kuhamasisha maandamano ni kuleta taharuki isiyo na sababu kwa Wananchi.
Wewe unachoshwa na mumeo unakuja kusingizia wengine hapa
 
Swali la Msingi.

Hivi mtu aliyekupigia kura ambayo unasema imeibiwa umwambie aandamane halafu ashindwe kuandamana ina make sense kweli?? La hasha nina wasiwasi yamkini vyama vya upinzani wao ndio wameiba hizo kura walizozipata. Hakuna mtu anayeibiwa ahalafu ashindwe kutafuta kitu chake kilichoibiwa.

Tanzania Hatutaki Maandamano
Tulia wewe mammalia beberu limeshasema waachiwe bisheni muone mipini itakavyozama kunako
 
Hii ni hatari kubwa!

Ndio maana wazungu huwa wanatudharau, Utakuta jambo la kufanya kistaarabu na kwa kutumia muda na nguvu ndogo tu, Sisi waafrika tunahangaika vibaya mno na hata kutumia rasilimali nyingi isivyostahili! Donald Trump aliwahi kuwaponda viongozi wa Afrika akisema ....Give them weapons and they will kill themselves instead of fighting their enermies!

Hili tumeliona hata kwa serikali na CCM, wametumia nguvu na gharama kubwa sana za uchaguzi wakati kumbe mkononi walishaandaa njia ya mkato ya kushinda uchaguzi kwa asilimia zote! Wastage of time and resources!

After all; jesh la polis wanapaswa kufahamu kuwa kuitisha maandamano sio kosa bali kosa ni kuandamana bila kibali. Pia kosa la kuandamana bila kibali adhabu yake sio kupigwa mabomu wala au kudhuriwa kwa namna yoyote bali, adhabu yake ni kushtakiwa na mahakama ndio itowe uamuzi kama wahusika wana hatia au lah!

Kinyume cha hapo ni kujichukulia sheria mkononi huku jeshi lenyewe likijuwa fika kuwa katika suala zima la wananchi kuandamana, jukumu la jeshi sio kutoa kibali cha kuruhusu au kutoruhu maandamano bali ni kutoa ulinzi kwa waandamanaji!
Trump aliziita nchi zetu za Afrika 'shit hole countries'..tukapiga kelele
 
Swali la Msingi.

Hivi mtu aliyekupigia kura ambayo unasema imeibiwa umwambie aandamane halafu ashindwe kuandamana ina make sense kweli?? La hasha nina wasiwasi yamkini vyama vya upinzani wao ndio wameiba hizo kura walizozipata. Hakuna mtu anayeibiwa ahalafu ashindwe kutafuta kitu chake kilichoibiwa.

Tanzania Hatutaki Maandamano
Wasingetishwa na majeshi wangeandamana.
 
Nimeipenda Hii "CCM, wametumia nguvu na gharama kubwa sana za uchaguzi wakati kumbe mkononi walishaandaa njia ya mkato ya kushinda uchaguzi kwa asilimia zote! Wastage of time and resources!"
Hii kweli ni kituko sana. Kumbe ilikuwa wakae tu ndani wanywe kahawa halafu siku ya siku wanajitangaza kama walivyofanya.

Sasa migari yote ile, helkopta, wasanii, kusombelea watu kwenye malori hizi ni gharama kubwa sana bila sababu za msingi.
 
CCM imepata 'wizi wa kishindo' baada ya dikteta kuonyesha rangi yake halisi ya kutaka kuzeekea katika kiti Cha ufalme
 
Kazi nzuri, hongera jeshi la polisi. Amani lazima ilindwe kwa nguvu zetu zote.
 
Back
Top Bottom