n-propanol
JF-Expert Member
- Apr 7, 2019
- 5,349
- 7,000
Hiki chama cha Mbowe mapunguani mengi Sana. Wao bila Mbowe kuchaguliwa hakuna uchaguzi. Watanzania safari hii tumesema no kwenye saccos. Hiki Chama cha mawakala wa beberu, milele daima hakiwezi kutuongoza watanzania.Primitive ni wewe jomba, unayedhani demokrasia ni mpaka wewe ndiye utangazwe mshindi.
Itutenga ndio nini we mpumbavu?Lazima dunia itutenga na kuchukua hatua maana tumekuwa primitive kupita kiasi.
Amesikika meneja wa kampeni Chadema, ambae pamoja na juhudi zake zote ameambulia mbunge mmoja tu.Kimsingi lengo la maandamano limetimia
Siyo kila mtu yuko Tanzania mkuuUmeandamania upande gani? Tuambie hapa
JAMIII IMEKUWA SI MAHALA SALAMA...WATU WANATOA DETAILS TUNAPOTEANA..WANATAKA TU COMMENT KIMOYOMOYOSwali la Msingi.
Hivi mtu aliyekupigia kura ambayo unasema imeibiwa umwambie aandamane halafu ashindwe kuandamana ina make sense kweli?? La hasha nina wasiwasi yamkini vyama vya upinzani wao ndio wameiba hizo kura walizozipata. Hakuna mtu anayeibiwa ahalafu ashindwe kutafuta kitu chake kilichoibiwa.
Tanzania Hatutaki Maandamano
Mkuu ishu ya kutumia kura feki ilikuja mwishoni baada ya kuona kwenye kampeni watu wanavyomkataa jiwe na kumsapoti Lissu, so wakabadili plan ya kuiba kura na kutumia hii iliyotumika. Unakumbuka katikati ya kampeni Jiwe aliomba po na kupotea kidogoNimeipenda Hii "CCM, wametumia nguvu na gharama kubwa sana za uchaguzi wakati kumbe mkononi walishaandaa njia ya mkato ya kushinda uchaguzi kwa asilimia zote! Wastage of time and resources!"
Kama wananchi hawataki maandamano kwanini mnawakamata viongozi? si muwaache ili wananchi wawapuuze tu?Wananchi wamewakataa kabisa , wanataka kuichafua njia nyingine kuichafua nchi, asiyekubali kushindwa si mshindani wanadhani wananchikuwa hawajawaelewa ndio hata maandamano wananchi hawataki.
Tulia dawa ikuingie mkuuViongozi wanaongangania tujiajiri wao now wanasaka Akira kwa nguvu
Kwa hiyo unahamasisha watu waandamane bila sababu ya msingi, ili wavunje sheria na wapate madhara, washindwe kuendesha maisha yao na shughuli zao, ingali wewe haupo Tanzania, wewe ni mpumbafu sanaSiyo kila mtu yuko Tanzania mkuu
Mkuu you have spoken well.Hii ni hatari kubwa!
Ndio maana wazungu huwa wanatudharau, Utakuta jambo la kufanya kistaarabu na kwa kutumia muda na nguvu ndogo tu, Sisi waafrika tunahangaika vibaya mno na hata kutumia rasilimali nyingi isivyostahili! Donald Trump aliwahi kuwaponda viongozi wa Afrika akisema ....Give them weapons and they will kill themselves instead of fighting their enermies!
Hili tumeliona hata kwa serikali na CCM, wametumia nguvu na gharama kubwa sana za uchaguzi wakati kumbe mkononi walishaandaa njia ya mkato ya kushinda uchaguzi kwa asilimia zote! Wastage of time and resources!
After all; jesh la polis wanapaswa kufahamu kuwa kuitisha maandamano sio kosa bali kosa ni kuandamana bila kibali. Pia kosa la kuandamana bila kibali adhabu yake sio kupigwa mabomu wala au kudhuriwa kwa namna yoyote bali, adhabu yake ni kushtakiwa na mahakama ndio itowe uamuzi kama wahusika wana hatia au lah!
Kinyume cha hapo ni kujichukulia sheria mkononi huku jeshi lenyewe likijuwa fika kuwa katika suala zima la wananchi kuandamana, jukumu la jeshi sio kutoa kibali cha kuruhusu au kutoruhu maandamano bali ni kutoa ulinzi kwa waandamanaji!
Jeshi la polisi kazi yake ni kuhakikisha kuwa amani sheria havivunjwi kwayo yoyote akiwa na lengo la kuvuruga amani lazima sheria ifuate mkondo wakeJeshi la Polisi @tanpol wamevamia Ofisi ya ACT -Wazalendo Kata ya Vingunguti ili kumkamata Kiongozi wa Chama, Zitto Kabwe aliyekuwa Ofisini hapo kuratibu Maandamano kwa Njia ya Buguruni kuelekea Tume ya Taifa ya Uchaguzi.
===
Huyo ni mnufaika wa system mzeeWatanzania kama wewe mtaamka lini?
Sidhani kama kuna haja ya matusi mkuu, kwani lazima wote tuishi Tanzania? Pamoja na kuwa mbali lakini lazima tuwape hamasa waliopo huko na soon tunarudi nyumbaniKwa hiyo unahamasisha watu waandamane bila sababu ya msingi, ili wavunje sheria na wapate madhara, washindwe kuendesha maisha yao na shughuli zao, ingali wewe haupo Tanzania, wewe ni mpumbafu sana
Huna akiri kabisa, kila siku unataka kutengwa si ukaishi porini huko ujitenge,Lazima dunia itutenga na kuchukua hatua maana tumekuwa primitive kupita kiasi.
Watanzania tumeamka siku nyingi na ndo maana zana ya maandamano tumeiona yahovyo na kipuuzi kutaka kuwaingiza watu barabarani .Huyo ni mnufaika wa system mzee
Njoo haraka kabala watu hawajasahau ili uvunjwe kiuno na ushindwe kwenda kufanya mambo yako huko ulikotoka.Sidhani kama kuna haja ya matusi mkuu, kwani lazima wote tuishi Tanzania? Pamoja na kuwa mbali lakini lazima tuwape hamasa waliopo huko na soon tunarudi nyumbani
Na Mimi ngoja niseme kuna baadhi ya watu wako mbali wanahamasishe wenzao ujinga walioko nyumbani lazima tuseme kwamba wakome kabisa watanzania tuna akili timamu hatuendeshwi na mtuSidhani kama kuna haja ya matusi mkuu, kwani lazima wote tuishi Tanzania? Pamoja na kuwa mbali lakini lazima tuwape hamasa waliopo huko na soon tunarudi nyumbani
Wqqndamanajo wote wako kwenye keyboard wamejifungiainamaana mpk dakika hii bado hawajaandamana au ndo wananchi wamegoma