Polisi wavamia Ofisi za ACT-Wazalendo Vingunguti alizokuwepo Zitto Kabwe

hv polis wanavamia!!! au wapo kutimiza majukumu yao?? majambaz ndo wanavamia
 
Kilichonisikitisha ni kukosekana Kwa wabunge wa Upinzani bungeni basi!! Lakini kufa Kwa Chama kinachoitwa Chadema nimefurahi Sana!


Hawa watu siasa zao sjawahi kuzikubal hata chembe! Ugomvi ugomvi Tu Kwa kila kitu

Tanzania Asante Kwa kunitolea dubwasha linaloitwa Chadema
 
Wewe kweli kiazi yani

Aziza usimuache mmeo

Aziza usimuache mmeo
Siku ukipata akili utaacha kwenda kutinduliwa kwa bwana wako Mbowe
 
Ni wajinga hakuna mfano... hata ukiwa na kijana kwenye shuhili zako Nani chadema tegemea maendeleo hasi siku hadi siku
 
Lengo la maandamano haya ni kusambaza taarifa za uchaguzi feki dunia nzima , jambo ambalo limetimizwa na Mambosasa
Sasa unategemea kuwa tutateseka subiri uone kama dunia itwaamini wananchi ndio waamuzi , ubinafsi umewajaa kwa ajili kutaka kujaza matumbo yenu na tumewakataa na ushoga wenu.
 
Wananchi waoga wanaweza kukatazwa.

Unapoandika "mlisema mpo tayari kwa lolote" unanilundika na kundi gani? Wapi nilisema hilo?

Au unafanya makosa ya "one track mindset" kwamba yeyote anayehoji serikali ni CHADEMA?

Unapoandika "iweje mseme Polisi wamewakataza" unamkusudia nani? Mimi naandika kama mtu binafsi, unanilundikaje na hao wengine kwa mkumbo?

Wapi nimesema mimi ni mshabiki wa CHADEMA?

Hivi mtu hawezi kuwa mshabiki wa haki za kikatiba bila ya kuwa mshabiki wa CHADEMA?

Unaelewa tofauti ya hayo mawili?
 
mkuu unahangaikaje na huyo mchumia tumbo ?
 
So kamanda katoka nduki au kawakazia polisi?πŸ™„πŸ™„πŸ™„
 
Wananchi wamewakataa kabisa , wanataka kuichafua njia nyingine kuichafua nchi, asiyekubali kushindwa si mshindani wanadhani wananchikuwa hawajawaelewa ndio hata maandamano wananchi hawataki.
Haya mshashinda "wawashieni wajasiriamali mtandao wapate rizki zao"
au bado mnaogopa kuanikwa ilhali kiongozi ashapatikana?
 
Hahahah! Chadema bhana hii nchi ipo imara kuliko jana msiijaribu serikali.

Uchaguzi umeisha sasa tujenge nchi.

URT- JPM
SMZ- Mwinyi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…