Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Polisi Wilaya ya Tunduru wamevamia shughuhuli ya Ufunguzi wa Tawi la Chama cha ACT Wazalendo katika kijiji cha Namwinyu, Jimbo la Tunduru Kaskazini.
Ufunguzi huo wa Tawi ni sehemu ya ziara ya Kiongozi wa chama, Zitto Kabwe katika Mikoa mitatu ya Kusini.
View attachment 2417526View attachment 2417527View attachment 2417528View attachment 2417529
Kajisahau tu..Zitto bana, hivi kashasahau kwamba mikutano ya hadhara bado haijapata kibali.
Mbona hao "Polithi" wamekaa kinyonge hivyo?Polisi Wilaya ya Tunduru wamevamia shughuhuli ya Ufunguzi wa Tawi la Chama cha ACT Wazalendo katika kijiji cha Namwinyu, Jimbo la Tunduru Kaskazini.
Ufunguzi huo wa Tawi ni sehemu ya ziara ya Kiongozi wa chama, Zitto Kabwe katika Mikoa mitatu ya Kusini.
View attachment 2417526View attachment 2417527View attachment 2417528View attachment 2417529
🤣Hapo hakuna ugomvi ni mtu na mke wake
Mke kakiuka sheria ya ndoa yao
Watajua wenyewe
Mnyika anaikung'uta mikutano ya ndani sio njeWanataka kumzuia Kamanda J J Mnyika aliyeko Kusini
Janja ya nyani Hiyo!
RUBBISH, KIBALI GANI WAKATI IT IS WITHIN THE LAW!Zitto bana, hivi kashasahau kwamba mikutano ya hadhara bado haijapata kibali.
Tena sio V8 tu LC 300 ya mwaka 2022....Walinzi wa CCM katika ubora wao...
View attachment 2417572
Polisi wa Tanzania, mnakubali kutumika kisiasa kwa maslahi duni huku wanaowatuma wanazurura hovyo nchini ndani ya ma-V8...tazama hayo ma-Viatu!
,Kufungua tawi ni mkutano! Rudi darasani ujifunze kiswahili.
Zitto naona sasa ndio unaiona rangi halisi ya ccmPolisi Wilaya ya Tunduru wamevamia shughuhuli ya Ufunguzi wa Tawi la Chama cha ACT Wazalendo katika kijiji cha Namwinyu, Jimbo la Tunduru Kaskazini.
Ufunguzi huo wa Tawi ni sehemu ya ziara ya Kiongozi wa chama, Zitto Kabwe katika Mikoa mitatu ya Kusini.
View attachment 2417526View attachment 2417527View attachment 2417528View attachment 2417529
Siyo anataka kuzima, bali ametumwa kuzimaAmefanya kazi nzuri, Mnyika amejitahidi Sana naona, Zitto anataka kuzima Hilo.
We ni mtu wa aina gani? Kakwambia ulikua mkutano, huo umeme kila siku mnataka miaka 61 bado mnasumbuka naoZitto anaanza fujo na ku test jeshi la polisi.. Nani katoa vibali vya mikutano ya hadhara wakati huu ambao sio wa kampeni? Polisi kamateni huyo, piga rumande, sisi tunataka maji, umeme, hospitali, barabara nzuri, elimu bora, watu wafanye kazi kwa uhuru na usalama, amani itawale, sio mikutano ya hadhara. Watu wanataka maendeleo in short.
Mikutano ya hadhara wakati huu sio wa kampeni tutakula mikutano? Jamani, watu hawana muda huo wakati huu ni muda wa kuchapa kazi..