Jay One
JF-Expert Member
- Nov 12, 2010
- 18,042
- 19,787
Wee keep shut.. Who told you viatu vya polisi vya kazi viwe kama vya kulia harusi? Hivyo ndio vyenyewe, vigumu, ngozi ngozi, sasa ww shida yako kuwatusi polisi eti wana viatu vimechoka, FYI hivyo ndio viatu vya kazi, sura yake iko hivyo tokea vipya hadi vitaachwa.Walinzi wa CCM katika ubora wao...
View attachment 2417572
Polisi wa Tanzania, mnakubali kutumika kisiasa kwa maslahi duni huku wanaowatuma wanazurura hovyo nchini ndani ya ma-V8...tazama hayo ma-Viatu!