Wee keep shut.. Who told you viatu vya polisi vya kazi viwe kama vya kulia harusi? Hivyo ndio vyenyewe, vigumu, ngozi ngozi, sasa ww shida yako kuwatusi polisi eti wana viatu vimechoka, FYI hivyo ndio viatu vya kazi, sura yake iko hivyo tokea vipya hadi vitaachwa.Walinzi wa CCM katika ubora wao...
View attachment 2417572
Polisi wa Tanzania, mnakubali kutumika kisiasa kwa maslahi duni huku wanaowatuma wanazurura hovyo nchini ndani ya ma-V8...tazama hayo ma-Viatu!
Zitto anaanza fujo na ku test jeshi la polisi.. Nani katoa vibali vya mikutano ya hadhara wakati huu ambao sio wa kampeni? Polisi kamateni huyo, piga rumande, sisi tunataka maji, umeme, hospitali, barabara nzuri, elimu bora, watu wafanye kazi kwa uhuru na usalama, amani itawale, sio mikutano ya hadhara. Watu wanataka maendeleo in short.
Mikutano ya hadhara wakati huu sio wa kampeni tutakula mikutano? Jamani, watu hawana muda huo wakati huu ni muda wa kuchapa kazi..
Mnyika akiongea Kuna impact.Amefanya kazi nzuri, Mnyika amejitahidi Sana naona, Zitto anataka kuzima Hilo.
Amini usiamini, HILA zimefika mwisho.Next kwa mnyika, ila siasa za kishamba hizi
Haya ndo jeshi letu linayaweza precisely, lakini kule Bukoba tulijionea wenyewe.Polisi Wilaya ya Tunduru wamevamia shughuhuli ya Ufunguzi wa Tawi la Chama cha ACT Wazalendo katika kijiji cha Namwinyu, Jimbo la Tunduru Kaskazini.
Ufunguzi huo wa Tawi ni sehemu ya ziara ya Kiongozi wa chama, Zitto Kabwe katika Mikoa mitatu ya Kusini.
View attachment 2417526View attachment 2417527View attachment 2417528View attachment 2417529
Kwahiyo hata harusi ni mkutano!Hamwezi kufungua tawi bila kukutana
,
Ukiacha kukariri mkutano ni hali ya watu kukutana kwa ajili ya jambo fulani liwe rasmi au dharura.tulikutana nae kanisani.Kwahiyo hata harusi ni mkutano!
Kuna dalili zote kuwa ni tukio la kitengenezwa. False flagPolisi Wilaya ya Tunduru wamevamia shughuhuli ya Ufunguzi wa Tawi la Chama cha ACT Wazalendo katika kijiji cha Namwinyu, Jimbo la Tunduru Kaskazini.
Ufunguzi huo wa Tawi ni sehemu ya ziara ya Kiongozi wa chama, Zitto Kabwe katika Mikoa mitatu ya Kusini.
View attachment 2417526View attachment 2417527View attachment 2417528View attachment 2417529
DANGANYA TOTO HAWA NI WAMOJA TU CHADEMA HAWADANGANYIKI KAMWEPolisi Wilaya ya Tunduru wamevamia shughuhuli ya Ufunguzi wa Tawi la Chama cha ACT Wazalendo katika kijiji cha Namwinyu, Jimbo la Tunduru Kaskazini.
Ufunguzi huo wa Tawi ni sehemu ya ziara ya Kiongozi wa chama, Zitto Kabwe katika Mikoa mitatu ya Kusini.
View attachment 2417526View attachment 2417527View attachment 2417528View attachment 2417529