Jogoo mbegu
JF-Expert Member
- Jun 28, 2023
- 824
- 3,449
ππππππ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wengi wanaojiunga na polisi ni wale walioshindwa maisha na wenye kutumia nguvu zaidi kuliko akili...yani wenye uwezo mdogo wa kufikiri.Mh hawa jamaa hapana...
Wanajidai kwa rushwa, dhuluma, urafiki na wezi, vibaka na Majambazi, wavuta bangi, kutembea na wake za watu, kufadhili uhalifiu. Police si kiumbe wa kumuonea huruma kila siku wanafanya ukatili, Uonevu, na dhuluma za kila aina.Utafiti wangu mdogo umebaini Watanzania wengi hawana urafiki na polisi, yaani ule urafiki kama wa mtu na mshkaji wake, mfano kupigiana simu kujuliana hali, kutembeleana, kubadilishana mawazo, kushirikiana katika biashara na kupeana michongo.
Mapolisi wengi wanakuwa na urafiki wao kwa wao na kwavile wengi hukutana kazini tu tena ukubwani, basi urafiki wao huwa wa juu juu tu. Vipo visa kadhaa vya askari polisi kuchukua hatua za ajabu kutokana na msongo wa mawazo.
Niliwahi kuzungumza na mkuu mmoja wa FFU katika mkoa fulani akaniambia anaongoza vijana walevi, wagomvi, wenye madeni na mzigo mkubwa wa familia, alinieleza vijana wake ni kama wanaishi kwenye dunia yao.
Nilivyo muuliza hatua gani huzichukua kuwasaidia akasema huwa anajitahidi kuwasaidia wale walio katika hali mbaya zaidi kwa kuwapangia malindo kwenye taasisi za fedha au sehemu nzuri nzuri ili wapate posho ya ziada, pia huwa anawafariji kwa neno la Mungu.
Anasema laiti raia wangekuwa na huruma na upendo kwa polisi huenda jamii ingefuta uhalifu.
Mnaonaje tukianza utaratibu wa kuwatembelea polisi kwenye kota zao, kupiga nao ma stori, kuoa watoto wao, mnadhani itapunguza hizi kelele huku mtaani?
π€£π€£π€£π€£π€£π€£ mbavu zangu mimiMh hawa jamaa hapana...
Utafiti wangu mdogo umebaini Watanzania wengi hawana urafiki na polisi, yaani ule urafiki kama wa mtu na mshkaji wake, mfano kupigiana simu kujuliana hali, kutembeleana, kubadilishana mawazo, kushirikiana katika biashara na kupeana michongo.
Mapolisi wengi wanakuwa na urafiki wao kwa wao na kwavile wengi hukutana kazini tu tena ukubwani, basi urafiki wao huwa wa juu juu tu. Vipo visa kadhaa vya askari polisi kuchukua hatua za ajabu kutokana na msongo wa mawazo.
Niliwahi kuzungumza na mkuu mmoja wa FFU katika mkoa fulani akaniambia anaongoza vijana walevi, wagomvi, wenye madeni na mzigo mkubwa wa familia, alinieleza vijana wake ni kama wanaishi kwenye dunia yao.
Nilivyo muuliza hatua gani huzichukua kuwasaidia akasema huwa anajitahidi kuwasaidia wale walio katika hali mbaya zaidi kwa kuwapangia malindo kwenye taasisi za fedha au sehemu nzuri nzuri ili wapate posho ya ziada, pia huwa anawafariji kwa neno la Mungu.
Anasema laiti raia wangekuwa na huruma na upendo kwa polisi huenda jamii ingefuta uhalifu.
Mnaonaje tukianza utaratibu wa kuwatembelea polisi kwenye kota zao, kupiga nao ma stori, kuoa watoto wao, mnadhani itapunguza hizi kelele huku mtaani?
Mungu sio seleman wa mbosso.Wanajidai kwa rushwa, dhuluma, urafiki na wezi, vibaka na Majambazi, wavuta bangi, kutembea na wake za watu, kufadhili uhalifiu. Police si kiumbe wa kumuonea huruma kila siku wanafanya ukatili, Uonevu, na dhuluma za kila aina.
Ingefaa sana kama Mungu akawapa adhabu kubwa sana hapa Duniani hasa ukichaa na ukilema.
Watembelee wewe mimi hata lift siwapiUtafiti wangu mdogo umebaini Watanzania wengi hawana urafiki na polisi, yaani ule urafiki kama wa mtu na mshkaji wake, mfano kupigiana simu kujuliana hali, kutembeleana, kubadilishana mawazo, kushirikiana katika biashara na kupeana michongo.
Mapolisi wengi wanakuwa na urafiki wao kwa wao na kwavile wengi hukutana kazini tu tena ukubwani, basi urafiki wao huwa wa juu juu tu. Vipo visa kadhaa vya askari polisi kuchukua hatua za ajabu kutokana na msongo wa mawazo.
Niliwahi kuzungumza na mkuu mmoja wa FFU katika mkoa fulani akaniambia anaongoza vijana walevi, wagomvi, wenye madeni na mzigo mkubwa wa familia, alinieleza vijana wake ni kama wanaishi kwenye dunia yao.
Nilivyo muuliza hatua gani huzichukua kuwasaidia akasema huwa anajitahidi kuwasaidia wale walio katika hali mbaya zaidi kwa kuwapangia malindo kwenye taasisi za fedha au sehemu nzuri nzuri ili wapate posho ya ziada, pia huwa anawafariji kwa neno la Mungu.
Anasema laiti raia wangekuwa na huruma na upendo kwa polisi huenda jamii ingefuta uhalifu.
Mnaonaje tukianza utaratibu wa kuwatembelea polisi kwenye kota zao, kupiga nao ma stori, kuoa watoto wao, mnadhani itapunguza hizi kelele huku mtaani?
Sio police tu watu wengi wana msongo wa mawazo
Ujinga wao ndiyo unawatesahakuna jamii iliyowatenga polisi,polisi wanaishi mtaani,wanaugua wanatibiwa,wanakopa wakikosa pesa,na hutoa misaada wanapohitajika.
shutuma walizo nazo ndizo wanachi wanalalamika nazo,bahati mbaya mwananchi yuko nafasi mbaya anakosa chaguo wakati huo unapofika zaidi ya kutekeleza anachoagizwa na polisi.
kwa kiswahili chepesi ni kwamba utamhitaji polisi wakati ambao huna chaguo jingine,hii huwafanya nao kutokunyenyekea watu.
msongo wa mawazo walio nao baadhi yao,unatokana na swala la kipato duni,,maisha mabovu,kazi ngumu yenye hatari kubwa na shinikizo kubwa kutoka kwa vingozi wasio na akili,malalamiko mengi kutoka kwa wateja wao yaani wananchi.
Nilishawahi ambiwa nitalala lockup na mkuu wa kituo Ila polisi anaenifahamu rafiki yangu akaja kunitoa na kuniambia atazungumza na mkuu wa kituo hilo suala nimwachie yeye maana mkuu wa kituo alikua anataka nimpe RUSHWA kubwa ili aniachie nikagomaMapolisi wengi wanakuwa na urafiki wao kwa wao na kwavile wengi hukutana kazini tu tena ukubwani, basi urafiki wao huwa wa juu juu tu. Vipo visa kadhaa vya askari polisi kuchukua hatua za ajabu kutokana na msongo wa mawazo.
ujinga wa polisi ni kielelezo cha taifa zima la tanzania.Ujinga wao ndiyo unawatesa
Mfumo ovu wa CCMujinga wa polisi ni kielelezo cha taifa zima la tanzania.
ukienda nchi yoyote duniani ukakuta polisi wanalewa na silaha mgongoni kuna ujumbe unaupata kuhusu taifa hilo.