Polisi wengi wanatengwa na Jamii na kuishi kwa msongo mawazo

Polisi wengi wanatengwa na Jamii na kuishi kwa msongo mawazo

Utafiti wangu mdogo umebaini Watanzania wengi hawana urafiki na polisi, yaani ule urafiki kama wa mtu na mshkaji wake, mfano kupigiana simu kujuliana hali, kutembeleana, kubadilishana mawazo, kushirikiana katika biashara na kupeana michongo.

Mapolisi wengi wanakuwa na urafiki wao kwa wao na kwavile wengi hukutana kazini tu tena ukubwani, basi urafiki wao huwa wa juu juu tu. Vipo visa kadhaa vya askari polisi kuchukua hatua za ajabu kutokana na msongo wa mawazo.

Niliwahi kuzungumza na mkuu mmoja wa FFU katika mkoa fulani akaniambia anaongoza vijana walevi, wagomvi, wenye madeni na mzigo mkubwa wa familia, alinieleza vijana wake ni kama wanaishi kwenye dunia yao.

Nilivyo muuliza hatua gani huzichukua kuwasaidia akasema huwa anajitahidi kuwasaidia wale walio katika hali mbaya zaidi kwa kuwapangia malindo kwenye taasisi za fedha au sehemu nzuri nzuri ili wapate posho ya ziada, pia huwa anawafariji kwa neno la Mungu.

Anasema laiti raia wangekuwa na huruma na upendo kwa polisi huenda jamii ingefuta uhalifu.

Mnaonaje tukianza utaratibu wa kuwatembelea polisi kwenye kota zao, kupiga nao ma stori, kuoa watoto wao, mnadhani itapunguza hizi kelele huku mtaani?
Kila mtu hulipwa kwa kipimo sawa sawa na ujazo anaowapimia wengine

Polisi ni kama siyo watanzania wenzetu. Wameamua kuishi kama.maroboti. robot halina maisha kwani hufanyiwa programming na mmiliki.


Mkuu, waache wapambane na hali yao hafi watakapojitambua
 
Polisi mmoja tulisoma nae O level....alipokuja Dar akaenda ofisi ya classmate wetu....eebanaeeh huyo classmate alimruka kwamba hamjui...polisi anakumbusha na kututaja,jamaa anasema kweli hao nawakumbuka lakini wewe sikukumbuki asilani.🤪🤪🤪
😂😂😂😂
 
Utafiti wangu mdogo umebaini Watanzania wengi hawana urafiki na polisi, yaani ule urafiki kama wa mtu na mshkaji wake, mfano kupigiana simu kujuliana hali, kutembeleana, kubadilishana mawazo, kushirikiana katika biashara na kupeana michongo.

Mapolisi wengi wanakuwa na urafiki wao kwa wao na kwavile wengi hukutana kazini tu tena ukubwani, basi urafiki wao huwa wa juu juu tu. Vipo visa kadhaa vya askari polisi kuchukua hatua za ajabu kutokana na msongo wa mawazo.

Niliwahi kuzungumza na mkuu mmoja wa FFU katika mkoa fulani akaniambia anaongoza vijana walevi, wagomvi, wenye madeni na mzigo mkubwa wa familia, alinieleza vijana wake ni kama wanaishi kwenye dunia yao.

Nilivyo muuliza hatua gani huzichukua kuwasaidia akasema huwa anajitahidi kuwasaidia wale walio katika hali mbaya zaidi kwa kuwapangia malindo kwenye taasisi za fedha au sehemu nzuri nzuri ili wapate posho ya ziada, pia huwa anawafariji kwa neno la Mungu.

Anasema laiti raia wangekuwa na huruma na upendo kwa polisi huenda jamii ingefuta uhalifu.

Mnaonaje tukianza utaratibu wa kuwatembelea polisi kwenye kota zao, kupiga nao ma stori, kuoa watoto wao, mnadhani itapunguza hizi kelele huku mtaani?
Hapo pana ukweli. Hata watoto wadogo wanawaogopa kwa jinsi wanavyowatendea raia ndivyo sivyo.
 
Siku nilipo ona polisi ni wapumbavu ni siku polisi niliye mpokea mjini na kumpa malaya asogeze siku alipo pewa kibunda akaja nikamata uso wa mbuzi kisa tulipishana kauli na mdada (mchepuko wa bosi flani )

Tangu hapo siwaamini hawa njagu japo kwenye ukoo wetu 50% ni askari
Yuko sahihi kabisa kulingana na miiko ya kazi yake
 
Utafiti wangu mdogo umebaini Watanzania wengi hawana urafiki na polisi, yaani ule urafiki kama wa mtu na mshkaji wake, mfano kupigiana simu kujuliana hali, kutembeleana, kubadilishana mawazo, kushirikiana katika biashara na kupeana michongo.

Mapolisi wengi wanakuwa na urafiki wao kwa wao na kwavile wengi hukutana kazini tu tena ukubwani, basi urafiki wao huwa wa juu juu tu. Vipo visa kadhaa vya askari polisi kuchukua hatua za ajabu kutokana na msongo wa mawazo.

Niliwahi kuzungumza na mkuu mmoja wa FFU katika mkoa fulani akaniambia anaongoza vijana walevi, wagomvi, wenye madeni na mzigo mkubwa wa familia, alinieleza vijana wake ni kama wanaishi kwenye dunia yao.

Nilivyo muuliza hatua gani huzichukua kuwasaidia akasema huwa anajitahidi kuwasaidia wale walio katika hali mbaya zaidi kwa kuwapangia malindo kwenye taasisi za fedha au sehemu nzuri nzuri ili wapate posho ya ziada, pia huwa anawafariji kwa neno la Mungu.

Anasema laiti raia wangekuwa na huruma na upendo kwa polisi huenda jamii ingefuta uhalifu.

Mnaonaje tukianza utaratibu wa kuwatembelea polisi kwenye kota zao, kupiga nao ma stori, kuoa watoto wao, mnadhani itapunguza hizi kelele huku mtaani?
Kwenye utafiti wako kuna sehemu ulikwama kupata taarifa sahihi ama ulipotoshwa!

Kuhusu urafiki wa Polisi kwa Polisi siyo kweli.

Polisi hamuamini Polisi mwenzake sababu ya "kuchomana"!

Yaani Polisi akiielewa" michongo" ya rafiki yake, hawezi kustahimili "kumeza jiwe" ili iende.

Humzunguka mwenzake na "kumchomesha" kwa wengine lengo likiwa ni kusaka sifa ama cheo, ili mwisho wa siku "likibumburuka" asionekane yeye kuhusika.

Urafiki walionao ni urafiki wa mashaka sana.
 
Tena siku hizi ni afadhali sana.

Mkoloni na awamu ya kwanza waliwekwa kwenye sehemu zao maalum, ilikuwa ni mwiko kabisa polisi kuishi na raia na kuwa na urafiki na raia.

Naamini hizo kanuni zao bado zipo sema zinafungiwa macho tu siku hizi.
Kwa mara ya kwanza naona ume-reply thread bila kuhusisha dini!!

Yan ww hyo dini yako imekuua ukaoza!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom