Polisi wetu mtuhumiwa hakamatwi kwa uvamizi, badilisheni mbinu za ukamataji

Polisi wetu mtuhumiwa hakamatwi kwa uvamizi, badilisheni mbinu za ukamataji

Mganguzi

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2022
Posts
1,604
Reaction score
3,715
Nitoe Rai kwa jeshi la polisi pamoja na yote upepo unaopita kwa sasa kwenye nchi yetu sio mzuri! Badilisheni namna ya kumkamata mhalifu kinyume chake wananchi wataanza kujihami kwa siraha yoyote nife ama ufe wewe ! Kwa sababu Hali sio shwari!

Mnaenda kumkamata mtu kwa kumvamia mnataka aamini ni kweli nyinyi ni polisi? Unaenda bila kitambulisho nitakuaminije?

Hujavaa sare za polisi unanichukuaje? Umeshika mitutu ya bunduki nakuaminije ? Gari uliyokuja nayo ni gari binafsi naondokaje na wewe?

Mtatulaumu Bure tu lakini badilisheni mbinu zenu za ukamataji
 
Polisi wamejaa woga sana
Siku hizi hata kuvaa sere za polisi na kuchangamana na raia wanaogopa.

Wanajua wanachukiwa na kila raia, wanadharaulika sana.

Hii ni kutokana na matendo yao ya kubambikia watu kesi, kutesa, kuua na rushwa.

Ukweli kazi ya upolisi tanzania ni laana.
Ile kazi hapana
Ndio maana polisi wanashinda kwa waganga. No vile tu hawatembei na matunguli ila ni washirikina vibaya mmno
 
Nitoe Rai kwa jeshi la polisi pamoja na yote upepo unaopita kwa sasa kwenye nchi yetu sio mzuri! Badilisheni namna ya kumkamata mhalifu kinyume chake wananchi wataanza kujihami kwa siraha yoyote nife ama ufe wewe ! Kwa sababu Hali sio shwari!

Mnaenda kumkamata mtu kwa kumvamia mnataka aamini ni kweli nyinyi ni polisi? Unaenda bila kitambulisho nitakuaminije?

Hujavaa sare za polisi unanichukuaje? Umeshika mitutu ya bunduki nakuaminije ? Gari uliyokuja nayo ni gari binafsi naondokaje na wewe?

Mtatulaumu Bure tu lakini badilisheni mbinu zenu za ukamataji
Hujavaa sare za polisi unanichukuaje? Umeshika mitutu ya bunduki nakuaminije ? Gari uliyokuja nayo ni gari binafsi naondokaje na wewe?💪🏿📌🔨
 
1733426862602.jpg


Ushauri wako mzuri lkn ...unamshauri nani? Watakusikiiliza?
 
Ni ngumu sana kutofautisha mapolisi na majambazi Kwa hapa Tanzania.
Wakija kukukamata wala huwezi kujua kama ni majambazi au askari.
 
Nitoe Rai kwa jeshi la polisi pamoja na yote upepo unaopita kwa sasa kwenye nchi yetu sio mzuri! Badilisheni namna ya kumkamata mhalifu kinyume chake wananchi wataanza kujihami kwa siraha yoyote nife ama ufe wewe ! Kwa sababu Hali sio shwari!

Mnaenda kumkamata mtu kwa kumvamia mnataka aamini ni kweli nyinyi ni polisi? Unaenda bila kitambulisho nitakuaminije?

Hujavaa sare za polisi unanichukuaje? Umeshika mitutu ya bunduki nakuaminije ? Gari uliyokuja nayo ni gari binafsi naondokaje na wewe?

Mtatulaumu Bure tu lakini badilisheni mbinu zenu za ukamataji
Yaani ubaya ubwela au?
 
Kama sio yeye walietaka kumteka mbona gari yake wameondoka nayo?

Maajabu ya Dunia, labda kamanda Msime hilo hawakumwambia kwamba tumeondoka na magari mawili badala ya mtuhumiwa na tutayafikisha kesho mahakamani kujibu tuhuma [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Back
Top Bottom