Kama sio yeye walietaka kumteka mbona gari yake wameondoka nayo?Polisi: Tunachunguza kubaini kwanini Mwanasheria Lusako alikimbia wakati si yeye tuliyemfuata SWT2 Polisi: Tunachunguza kubaini kwanini Mwanasheria Lusako alikimbia wakati si yeye tuliyemfuata SWT2
hata akili hawana
Hujavaa sare za polisi unanichukuaje? Umeshika mitutu ya bunduki nakuaminije ? Gari uliyokuja nayo ni gari binafsi naondokaje na wewe?πͺπΏππ¨Nitoe Rai kwa jeshi la polisi pamoja na yote upepo unaopita kwa sasa kwenye nchi yetu sio mzuri! Badilisheni namna ya kumkamata mhalifu kinyume chake wananchi wataanza kujihami kwa siraha yoyote nife ama ufe wewe ! Kwa sababu Hali sio shwari!
Mnaenda kumkamata mtu kwa kumvamia mnataka aamini ni kweli nyinyi ni polisi? Unaenda bila kitambulisho nitakuaminije?
Hujavaa sare za polisi unanichukuaje? Umeshika mitutu ya bunduki nakuaminije ? Gari uliyokuja nayo ni gari binafsi naondokaje na wewe?
Mtatulaumu Bure tu lakini badilisheni mbinu zenu za ukamataji
Wanakuja kijambaIjqmbazi tuHujavaa sare za polisi unanichukuaje? Umeshika mitutu ya bunduki nakuaminije ? Gari uliyokuja nayo ni gari binafsi naondokaje na wewe?πͺπΏππ¨
Yaani ubaya ubwela au?Nitoe Rai kwa jeshi la polisi pamoja na yote upepo unaopita kwa sasa kwenye nchi yetu sio mzuri! Badilisheni namna ya kumkamata mhalifu kinyume chake wananchi wataanza kujihami kwa siraha yoyote nife ama ufe wewe ! Kwa sababu Hali sio shwari!
Mnaenda kumkamata mtu kwa kumvamia mnataka aamini ni kweli nyinyi ni polisi? Unaenda bila kitambulisho nitakuaminije?
Hujavaa sare za polisi unanichukuaje? Umeshika mitutu ya bunduki nakuaminije ? Gari uliyokuja nayo ni gari binafsi naondokaje na wewe?
Mtatulaumu Bure tu lakini badilisheni mbinu zenu za ukamataji
Kuna siku tutapoteza POLISI kimasialaPolisi: Tunachunguza kubaini kwanini Mwanasheria Lusako alikimbia wakati si yeye tuliyemfuata SWT2 Polisi: Tunachunguza kubaini kwanini Mwanasheria Lusako alikimbia wakati si yeye tuliyemfuata SWT2
hata akili hawana
Hawawezi KAMWE kujibu hilo swaliKama sio yeye walietaka kumteka mbona gari yake wameondoka nayo?
https://www.facebook.com/Wanakuja kijambaIjqmbazi tu
Ova
Kama sio yeye walietaka kumteka mbona gari yake wameondoka nayo?
kuwaamini polisi wa tanzania ni kujitafutia kifo