Polisi yaanza kufuatilia tukio la Binti aliyebakwa na wanaume watatu

Kwa kweli nimesikitishwa sana na hiki kitendo cha hawa vijana walichofanya kwa huyu binti.

Wamemfanyia ukatili wa hali ya Juu sana.

Binti aliomba hadi maji ya Kunywa lakini wahuni hawaelewi wao wanatimiza tu haja za nafsi zao m**bwa wale😡😡😡

Serikali kupitia vyombo vyake vya Sheria ikalitazame hili swala kwa Jicho la Pekee
 
Sijaona hiyo video bado.

Nakuja pm mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…