OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
- Thread starter
- #61
Wachezaji wa akiba?Mwinyi Zahera mwishoni mwa mchezo ameelezea vizuri. Amewapa wachezaji wa akiba nafasi ya kuonekana, lakini kwa mara ya pili mfululizo wamemwangusha.
Nina imani hawatamlaumu mwalimu watakapo sugua benchi ligi itakapoanza. Mechi ijayo na Afc Leopalds ni full kikosi. Hakuna namna. Bado nina imani na timu yangu.