OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
- Thread starter
-
- #61
Wachezaji wa akiba?Mwinyi Zahera mwishoni mwa mchezo ameelezea vizuri. Amewapa wachezaji wa akiba nafasi ya kuonekana, lakini kwa mara ya pili mfululizo wamemwangusha.
Nina imani hawatamlaumu mwalimu watakapo sugua benchi ligi itakapoanza. Mechi ijayo na Afc Leopalds ni full kikosi. Hakuna namna. Bado nina imani na timu yangu.
Mkuu wachezaji wa akiba. Yondani,Molinga, Shikolo,Ally Ally,Feisal Salum,Issa,Birigimana. Kweli mkuu kikosi cha akiba.Wachezaji wa akiba?
Utafukuzwa timu wewe. Unamlaumu Papaa?Kila anachosema ni sheria. How dare you?Zahera kaishiwa mbinu.Ana stress za kazi yao kuisha kwenye team ya taifa Congo Zaire.
Hahahahahahahahah.......Wananchi inakuwaje mnachomoa betri mbele ya Polisi,Oneni sasa mlivyopewa kichapo kitakatifu.Hakika Mtani na jumapili tunatest kile kikosi kingine.
Leo hukutaka kusubiri kuja alfajiriSawa Shem.
Duuh Shadeeya njoo uone huku.YANGA hii sitashangaa ikipigwa 8 na Simba
Keep hopingMechi ni ya kirafiki, kocha amewapa nafasi wachezaji wengi wa akiba ili kuona namna ya kuwatumia kwenye michezo ijayo, lakini wameendelea kumuangusha. Hakuna namna. Nina imani timu yetu itafanya vizuri kwenye michezo ijayo.
Naona unavyo wewesekaNimeshaedit Mtani. Najua mmepata pa kuongea. Uwanja ni wenu Mtani.
Ila nirudie tu ile ni mechi ya kirafiki na mpira una matokeo matatu pia.
Sio mazoezi hayo wangevaa training kit hiyo ni mechi ya kirafiki buda ndio maana walivaa Jersey kamili, Man united hizi mechi za kirafiki kashinda zoteeeeMsimu huu ndiyo game ya kwanza timu imefungwa na ni mazoezi tu