Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Akili ni nywere kila mtu anazakeSio mazoezi hayo wangevaa training kit hiyo ni mechi ya kirafiki buda ndio maana walivaa Jersey kamili, Man united hizi mechi za kirafiki kashinda zoteeee
Na kweli akili ni "nywere ".Akili ni nywere kila mtu anazake
Yaani una maana walikosea kushindia matikiti kule Bigwa Morogoro?Au una maana lishe ipi?Naamini yanga wataimarika tu mbele ya safari,
Changamoto yao kubwa kwa sasa ni lishe.
Mmmh! Tunakubali maneno yenu Mtani lakini mkae mkijua siku mkiharibu hapatatosha hapa.Hahahahahahahahah.......Wananchi inakuwaje mnachomoa betri mbele ya Polisi,Oneni sasa mlivyopewa kichapo kitakatifu.
Pale itakapokuwa kinyume nadhani utazimia na kuzimia Mtani.YANGA hii sitashangaa ikipigwa 8 na Simba
ππ Litowe tu Mtani.Leo hukutaka kusubiri kuja alfajiri
Ngoja nitoe bundu langu la nguo
Hebu niache Mtani!!! πππNaona unavyo weweseka
Mmejichokea ninyi!Mnafungwa hadi na "polisi-jamii"?HahahahaaaKama nawaona mlivyopata shida.
Niseme tu ni mechi ya kirafiki ile jamani .
Hahaaa. Hayo ni maono yako Mtani. Lakini sisi tunajiona tuko vizuri na ile ni sehemu ya mchezo.Mmejichokea ninyi!Mnafungwa hadi na "polisi-jamii"?Hahahahaaa
View attachment 1182950
Yanga ikiwa imeingiza full mkoko full kikosi imekula bao 2 bila na timu ya Polisi Tanzania
Yanga imecheza mechi hii kujiandaa za mechi ya kimataifa dhidi ya Township rollers.
Ama kweli sikio la kufa halisikii dawa. Sio kwa aibu hii.View attachment 1182954
Kikosi kikali
Mama la mama tuwe wakweli timu yetu ya wananchi ni mbovu kuliko ile mwaka Jana!Mmmh! Tunakubali maneno yenu Mtani lakini mkae mkijua siku mkiharibu hapatatosha hapa.
Umeanza lini kuwa Yanga lakini Mtani? π³π³Mama la mama tuwe wakweli timu yetu ya wananchi ni mbovu kuliko ile mwaka Jana!
Kuna wachezaji wengi tumepigwa nafikiri ni 50 percent na sio 10percent kama ilivyo zoeleka.
Zahera ni mjanja mjanja tuu anatupa matumaini hewa.
Yaaaani acha kabisa πππNa kweli akili ni "nywere".
Na kweli akili ni "nywere ".
Mama la mama tuwe wakweli timu yetu ya wananchi ni mbovu kuliko ile mwaka Jana!
Kuna wachezaji wengi tumepigwa nafikiri ni 50 percent na sio 10percent kama ilivyo zoeleka.
Zahera ni mjanja mjanja tuu anatupa matumaini hewa.
Lakini si amesema ukweli 8 ni halali yenu msimu huu.Huyo Penison akawiagi kupotezea quote zangu.
How dare you kumlaumu Papaa. Utakuwa mamluki wa Simba wewe. Papaa hakosei hata mara moja.How dare you?Ukilinganisha Yanga ya mwaka jana na hii ya mwaka huu, kuna utofauti kidogo. Hii ya mwaka huu ina unafuu ingawa kuna baadhi ya wachezaji waliosajiliwa wanatia shaka uwezo wao. Mfano yule Kalengo, Issa Bigirimana na mwenyeji Jaffary Mohamed. Labda siku za usoni watabadilika. Molinga anahitaji muda ingawa napo sikuona sababu ya kocha kumuuza Makambo na pia kumuachia Gadiel Michael kujiunga na Simba.
Kiufupi Mwinyi Zahera kwa kiasi kikubwa ni mzinguaji pale kwenye timu yetu! Amekua na maamuzi yake binafsi kiasi unahisi yuko juu ya timu. Mfano mzuri ni suala la Benno Kakolanya! Mbona akina Yondani, Juma Abdul na Dante hawakufukuzwa baada ya kudai hela zao kama ilivyokua kwa Kakolanya?
Ukiondoa hiyo, amechelewa kujiunga na timu kwa sababu zake binafsi, halafu kwenye mechi za kirafiki anatumia utaratibu wa hovyo wa kubadilisha timu nzima badala ya wachezaji wachache ili kutengeneza 'chemistry' nzuri ya timu.
Inavyoonekana Mwinyi Zahera hafahamu presha ya wanachama na mashabiki kuweza kumuondoa hapo Jangwani kwa sababu tu ya maamuzi yake ya hovyo. Time will tell.