Polisi yachomoa betri,yaipiga Yanga SC 2-0

Yaani una maana walikosea kushindia matikiti kule Bigwa Morogoro?Au una maana lishe ipi?
Ndio hivo,

Timu inashindia matikiti na mikate unatarajia ifanye kipi kwa sasa. Kikubwa ipate mdhamini ili timu ipate chakula kinachostahili na mazoezi yanayoendana na mchezo wa soka, siyo kila siku wanapiga mazoezi ya jinsi ya kunyakua matikiti.
 
Reactions: Tui
Mkuu kufungwa ni kufungwa haijalishi ni mashindano au laa tayari ni Rekodi
 
Uongozi wa yanga unashida, tena sio ndogo, mwinyi zahera amewatia mfukoni anafanya chochote anachojua yeye, haulizwi wala kusemeshwa, hili la kuchelewa kuripoti kambini ilinishangaza Sana, timu inafanya preseason Kwa kucheza na wanakwaya?? Bodaboda kweli????
 
Hongera Polisi, natumai kwenye Ligi Kuu Tanzania bara mtaendeleza Moto huohuo
 
Tenka limelipuka baada mla matikiti fc akiwa na njaa kali kuamua kuchomoa betri kwenye tenka la polisi[emoji91][emoji91][emoji91]
 
Reactions: Tui
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…