Polisi yakiri kumshikilia Kada wa CHADEMA Kombo aliyedaiwa kutoweka kwa siku 29!

Polisi yakiri kumshikilia Kada wa CHADEMA Kombo aliyedaiwa kutoweka kwa siku 29!


Zikiwa zimepita siku 29 tangu kada wa Chadema, wilayani Handeni mkoani Tanga, Kombo Mbwana (29) adaiwe kupotea, hatimaye leo Julai 14, 2024 Kaimu Kamanda wa Polisi mkoani hapa, Zacharia Bernard amesema wanamshikilia kwa tuhuma za makosa ya matumizi mabaya ya mitandao ya kijamii.

Akizungumza na waandishi wa habari leo Jumamosi Julai 14, 2024 Kaimu kamanda Benard amesema mtuhumiwa huyo amekuwa akitumia vifaa vya kielektroniki pamoja na laini za simu za mitandao mbalimbali zisizo na usajili wake katika kutekeleza uhalifu huo kinyume cha sheria za nchi.

Hata hivyo, Julai 2, 2024 Mwananchi lilimtafuta Mkuu wa Wilaya ya Handeni, Albert Msando kuhusu madai hayo ya kupotea kwa Kombo ambapo alisema tukio hilo lipo kwenye uchunguzi chini ya Jeshi la Polisi na amewaomba wanafamilia na wananchi kuwa watulivu wakati Serikali ikilishughulikia.

“Serikali haijawahi kushindwa jambo, nawaomba tuwe watulivu,” alisema Msando.
Ukatiri huu hautakoma, pisi wanatekeleza maelekezo toka CCM ambao wamezoea ukatili
 
nadhani ni baada ya mtoa maelekezo kutumbuliwa na kupangiwa kazi nyingine. polisi hawawezi kuteka watu bila DG wa teeth. samia kastuka mapema sana kaona upunguani wa jiwe umerudishwa ameamua kuadjust watu wake manake wanamuaibisha. nina uhakika issue ya sativa maza hakuifurahia, either kuona amepona kifo au kuona ametekwa na kuaibika ndio maana aliamua kumchangia hadi pesa.
Na vitisho vya RC navo vilimuhusisha DG wa TISS. Usitete upumbavu kesho yatakukuta wewe au wa karibu.
 

Zikiwa zimepita siku 29 tangu kada wa Chadema, wilayani Handeni mkoani Tanga, Kombo Mbwana (29) adaiwe kupotea, hatimaye leo Julai 14, 2024 Kaimu Kamanda wa Polisi mkoani hapa, Zacharia Bernard amesema wanamshikilia kwa tuhuma za makosa ya matumizi mabaya ya mitandao ya kijamii.

Akizungumza na waandishi wa habari leo Jumamosi Julai 14, 2024 Kaimu kamanda Benard amesema mtuhumiwa huyo amekuwa akitumia vifaa vya kielektroniki pamoja na laini za simu za mitandao mbalimbali zisizo na usajili wake katika kutekeleza uhalifu huo kinyume cha sheria za nchi.

Pia soma: Mke wa Kombo alivyosimulia jinsi Kombo alivyotekwa na watu wasiyojulikana na juhudi zilizofanyika kumtafuta Julai 2, 2024

Amesema upelelezi wa matukio hayo umefikia hatua nzuri na wakati wowote mtuhumiwa atafikishwa mahakamani. Anadaiwa kutenda makosa hayo kwenye mikoa tofauti na kuongeza Jeshi hilo linatoa wito kwa wananchi kuacha kujihusisha na matumizi mabaya ya mitandao ya kijamii ambayo ni kosa kisheria.

View attachment 3042263
Kombo Mbwana

Hata hivyo, Julai 2, 2024 Mwananchi lilimtafuta Mkuu wa Wilaya ya Handeni, Albert Msando kuhusu madai hayo ya kupotea kwa Kombo ambapo alisema tukio hilo lipo kwenye uchunguzi chini ya Jeshi la Polisi na amewaomba wanafamilia na wananchi kuwa watulivu wakati Serikali ikilishughulikia.

“Serikali haijawahi kushindwa jambo, nawaomba tuwe watulivu,” alisema Msando.
Sasa ni dhahiri Watekaji ni polisi.
 
Huo uchadema wake unaingiaje kwenye hili sakata Lake??

Au hakuna namna nyingine ya kumtambulisha??
 
Kuna namna Jeshi la Polisi linakosa uweledi. Kwa kuwa Jeshi letu halipo independent siwezi kuwalaumu. Bila kufanya overhaul ya serikali kupitia Katiba ya nchi haya matendo ya kuteka yataendelea bila kukoma. Ukisoma kwa kina hii taarifa ya Polisi utagundua watekaji na wasiojulikana ni akina nani.
 

Zikiwa zimepita siku 29 tangu kada wa Chadema, wilayani Handeni mkoani Tanga, Kombo Mbwana (29) adaiwe kupotea, hatimaye leo Julai 14, 2024 Kaimu Kamanda wa Polisi mkoani hapa, Zacharia Bernard amesema wanamshikilia kwa tuhuma za makosa ya matumizi mabaya ya mitandao ya kijamii.

Akizungumza na waandishi wa habari leo Jumamosi Julai 14, 2024 Kaimu kamanda Benard amesema mtuhumiwa huyo amekuwa akitumia vifaa vya kielektroniki pamoja na laini za simu za mitandao mbalimbali zisizo na usajili wake katika kutekeleza uhalifu huo kinyume cha sheria za nchi.

Pia soma: Mke wa Kombo alivyosimulia jinsi Kombo alivyotekwa na watu wasiyojulikana na juhudi zilizofanyika kumtafuta Julai 2, 2024

Amesema upelelezi wa matukio hayo umefikia hatua nzuri na wakati wowote mtuhumiwa atafikishwa mahakamani. Anadaiwa kutenda makosa hayo kwenye mikoa tofauti na kuongeza Jeshi hilo linatoa wito kwa wananchi kuacha kujihusisha na matumizi mabaya ya mitandao ya kijamii ambayo ni kosa kisheria.

View attachment 3042263
Kombo Mbwana

Hata hivyo, Julai 2, 2024 Mwananchi lilimtafuta Mkuu wa Wilaya ya Handeni, Albert Msando kuhusu madai hayo ya kupotea kwa Kombo ambapo alisema tukio hilo lipo kwenye uchunguzi chini ya Jeshi la Polisi na amewaomba wanafamilia na wananchi kuwa watulivu wakati Serikali ikilishughulikia.

“Serikali haijawahi kushindwa jambo, nawaomba tuwe watulivu,” alisema Msando.


Inasikitisha sana jamani 😭😭🙆‍♂️
 

Zikiwa zimepita siku 29 tangu kada wa Chadema, wilayani Handeni mkoani Tanga, Kombo Mbwana (29) adaiwe kupotea, hatimaye leo Julai 14, 2024 Kaimu Kamanda wa Polisi mkoani hapa, Zacharia Bernard amesema wanamshikilia kwa tuhuma za makosa ya matumizi mabaya ya mitandao ya kijamii.

Akizungumza na waandishi wa habari leo Jumamosi Julai 14, 2024 Kaimu kamanda Benard amesema mtuhumiwa huyo amekuwa akitumia vifaa vya kielektroniki pamoja na laini za simu za mitandao mbalimbali zisizo na usajili wake katika kutekeleza uhalifu huo kinyume cha sheria za nchi.

Pia soma: Mke wa Kombo alivyosimulia jinsi Kombo alivyotekwa na watu wasiyojulikana na juhudi zilizofanyika kumtafuta Julai 2, 2024

Amesema upelelezi wa matukio hayo umefikia hatua nzuri na wakati wowote mtuhumiwa atafikishwa mahakamani. Anadaiwa kutenda makosa hayo kwenye mikoa tofauti na kuongeza Jeshi hilo linatoa wito kwa wananchi kuacha kujihusisha na matumizi mabaya ya mitandao ya kijamii ambayo ni kosa kisheria.

View attachment 3042263
Kombo Mbwana

Hata hivyo, Julai 2, 2024 Mwananchi lilimtafuta Mkuu wa Wilaya ya Handeni, Albert Msando kuhusu madai hayo ya kupotea kwa Kombo ambapo alisema tukio hilo lipo kwenye uchunguzi chini ya Jeshi la Polisi na amewaomba wanafamilia na wananchi kuwa watulivu wakati Serikali ikilishughulikia.

“Serikali haijawahi kushindwa jambo, nawaomba tuwe watulivu,” alisema Msando.
Maneno mengi mbele ya Camera mkifika mahakamani mnashindwa kuthibitisha kesi...kazi kwao.
 
Back
Top Bottom