Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Hivi huyu babu akistaafu ataenda kuishi wapi?HIVI WASIJULIKANA NA WEWE HUMO
View attachment 3042254
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi huyu babu akistaafu ataenda kuishi wapi?HIVI WASIJULIKANA NA WEWE HUMO
View attachment 3042254
Ameokolewa na MUNGUHapo wamekiri kumshikilia sababu bado yuko hai, ingekuwa vinginevyo wangekaa kimya.
Ndiyo maana kamuokoaHAMZA ALIKUWA MZALENDO WA KWELI KABISA.
CCM PALE RUMUMBAHivi huyu babu akistaafu ataenda kuishi wapi?
Ndiyo maana familia zao huwa zimelaaniwaCCM PALE RUMUMBA
Ukatiri huu hautakoma, pisi wanatekeleza maelekezo toka CCM ambao wamezoea ukatili
Zikiwa zimepita siku 29 tangu kada wa Chadema, wilayani Handeni mkoani Tanga, Kombo Mbwana (29) adaiwe kupotea, hatimaye leo Julai 14, 2024 Kaimu Kamanda wa Polisi mkoani hapa, Zacharia Bernard amesema wanamshikilia kwa tuhuma za makosa ya matumizi mabaya ya mitandao ya kijamii.
Akizungumza na waandishi wa habari leo Jumamosi Julai 14, 2024 Kaimu kamanda Benard amesema mtuhumiwa huyo amekuwa akitumia vifaa vya kielektroniki pamoja na laini za simu za mitandao mbalimbali zisizo na usajili wake katika kutekeleza uhalifu huo kinyume cha sheria za nchi.
Hata hivyo, Julai 2, 2024 Mwananchi lilimtafuta Mkuu wa Wilaya ya Handeni, Albert Msando kuhusu madai hayo ya kupotea kwa Kombo ambapo alisema tukio hilo lipo kwenye uchunguzi chini ya Jeshi la Polisi na amewaomba wanafamilia na wananchi kuwa watulivu wakati Serikali ikilishughulikia.
“Serikali haijawahi kushindwa jambo, nawaomba tuwe watulivu,” alisema Msando.
Na vitisho vya RC navo vilimuhusisha DG wa TISS. Usitete upumbavu kesho yatakukuta wewe au wa karibu.nadhani ni baada ya mtoa maelekezo kutumbuliwa na kupangiwa kazi nyingine. polisi hawawezi kuteka watu bila DG wa teeth. samia kastuka mapema sana kaona upunguani wa jiwe umerudishwa ameamua kuadjust watu wake manake wanamuaibisha. nina uhakika issue ya sativa maza hakuifurahia, either kuona amepona kifo au kuona ametekwa na kuaibika ndio maana aliamua kumchangia hadi pesa.
Sasa ni dhahiri Watekaji ni polisi.
Zikiwa zimepita siku 29 tangu kada wa Chadema, wilayani Handeni mkoani Tanga, Kombo Mbwana (29) adaiwe kupotea, hatimaye leo Julai 14, 2024 Kaimu Kamanda wa Polisi mkoani hapa, Zacharia Bernard amesema wanamshikilia kwa tuhuma za makosa ya matumizi mabaya ya mitandao ya kijamii.
Akizungumza na waandishi wa habari leo Jumamosi Julai 14, 2024 Kaimu kamanda Benard amesema mtuhumiwa huyo amekuwa akitumia vifaa vya kielektroniki pamoja na laini za simu za mitandao mbalimbali zisizo na usajili wake katika kutekeleza uhalifu huo kinyume cha sheria za nchi.
Pia soma: Mke wa Kombo alivyosimulia jinsi Kombo alivyotekwa na watu wasiyojulikana na juhudi zilizofanyika kumtafuta Julai 2, 2024
Amesema upelelezi wa matukio hayo umefikia hatua nzuri na wakati wowote mtuhumiwa atafikishwa mahakamani. Anadaiwa kutenda makosa hayo kwenye mikoa tofauti na kuongeza Jeshi hilo linatoa wito kwa wananchi kuacha kujihusisha na matumizi mabaya ya mitandao ya kijamii ambayo ni kosa kisheria.
Hata hivyo, Julai 2, 2024 Mwananchi lilimtafuta Mkuu wa Wilaya ya Handeni, Albert Msando kuhusu madai hayo ya kupotea kwa Kombo ambapo alisema tukio hilo lipo kwenye uchunguzi chini ya Jeshi la Polisi na amewaomba wanafamilia na wananchi kuwa watulivu wakati Serikali ikilishughulikia.
“Serikali haijawahi kushindwa jambo, nawaomba tuwe watulivu,” alisema Msando.
Stupid?Deconstruction
🤣🤣🤣HIVI WASIJULIKANA NA WEWE HUMO
View attachment 3042254
Mwenyezi Mungu amrehemu huko aliko au?HAMZA ALIKUWA MZALENDO WA KWELI KABISA.
Zikiwa zimepita siku 29 tangu kada wa Chadema, wilayani Handeni mkoani Tanga, Kombo Mbwana (29) adaiwe kupotea, hatimaye leo Julai 14, 2024 Kaimu Kamanda wa Polisi mkoani hapa, Zacharia Bernard amesema wanamshikilia kwa tuhuma za makosa ya matumizi mabaya ya mitandao ya kijamii.
Akizungumza na waandishi wa habari leo Jumamosi Julai 14, 2024 Kaimu kamanda Benard amesema mtuhumiwa huyo amekuwa akitumia vifaa vya kielektroniki pamoja na laini za simu za mitandao mbalimbali zisizo na usajili wake katika kutekeleza uhalifu huo kinyume cha sheria za nchi.
Pia soma: Mke wa Kombo alivyosimulia jinsi Kombo alivyotekwa na watu wasiyojulikana na juhudi zilizofanyika kumtafuta Julai 2, 2024
Amesema upelelezi wa matukio hayo umefikia hatua nzuri na wakati wowote mtuhumiwa atafikishwa mahakamani. Anadaiwa kutenda makosa hayo kwenye mikoa tofauti na kuongeza Jeshi hilo linatoa wito kwa wananchi kuacha kujihusisha na matumizi mabaya ya mitandao ya kijamii ambayo ni kosa kisheria.
Hata hivyo, Julai 2, 2024 Mwananchi lilimtafuta Mkuu wa Wilaya ya Handeni, Albert Msando kuhusu madai hayo ya kupotea kwa Kombo ambapo alisema tukio hilo lipo kwenye uchunguzi chini ya Jeshi la Polisi na amewaomba wanafamilia na wananchi kuwa watulivu wakati Serikali ikilishughulikia.
“Serikali haijawahi kushindwa jambo, nawaomba tuwe watulivu,” alisema Msando.
Maneno mengi mbele ya Camera mkifika mahakamani mnashindwa kuthibitisha kesi...kazi kwao.
Zikiwa zimepita siku 29 tangu kada wa Chadema, wilayani Handeni mkoani Tanga, Kombo Mbwana (29) adaiwe kupotea, hatimaye leo Julai 14, 2024 Kaimu Kamanda wa Polisi mkoani hapa, Zacharia Bernard amesema wanamshikilia kwa tuhuma za makosa ya matumizi mabaya ya mitandao ya kijamii.
Akizungumza na waandishi wa habari leo Jumamosi Julai 14, 2024 Kaimu kamanda Benard amesema mtuhumiwa huyo amekuwa akitumia vifaa vya kielektroniki pamoja na laini za simu za mitandao mbalimbali zisizo na usajili wake katika kutekeleza uhalifu huo kinyume cha sheria za nchi.
Pia soma: Mke wa Kombo alivyosimulia jinsi Kombo alivyotekwa na watu wasiyojulikana na juhudi zilizofanyika kumtafuta Julai 2, 2024
Amesema upelelezi wa matukio hayo umefikia hatua nzuri na wakati wowote mtuhumiwa atafikishwa mahakamani. Anadaiwa kutenda makosa hayo kwenye mikoa tofauti na kuongeza Jeshi hilo linatoa wito kwa wananchi kuacha kujihusisha na matumizi mabaya ya mitandao ya kijamii ambayo ni kosa kisheria.
Hata hivyo, Julai 2, 2024 Mwananchi lilimtafuta Mkuu wa Wilaya ya Handeni, Albert Msando kuhusu madai hayo ya kupotea kwa Kombo ambapo alisema tukio hilo lipo kwenye uchunguzi chini ya Jeshi la Polisi na amewaomba wanafamilia na wananchi kuwa watulivu wakati Serikali ikilishughulikia.
“Serikali haijawahi kushindwa jambo, nawaomba tuwe watulivu,” alisema Msando.