Polisi yakiri kumshikilia Kada wa CHADEMA Kombo aliyedaiwa kutoweka kwa siku 29!

Mlishangilia kifo Cha Magufuli kuwa ndiye aliyekuwa anawateka, Sasahivi mnakula kuku kwa mrija dhalimu hayupo, sijui Sasahivi hizi lawama mnamtwisha nani, Maana mama yenu kipenzi hawezi fanya mambo hayo, Makonda jiandae maana kila baya nchi hii lilifanywa Magufuli na Makonda, Magufuli hayupo kabaki Makonda.
 
Siku 29 bila kumfikisha mahakamani?... Kazi kweli kweli
 
DG hafanyi kitu bila maelezo. Issue ya Sativa ilisababisha watu wapigwe chini sababu wali under perform.
 
Ni kutukana wananchi kama mlinda na mtunza sheria akivunja sheria huku akiwa amevaa uaskali... uvunjifu wa katiba kuinea raia.... Kila raia hata hatia hadi pale atakapo thibitika ana hatia ndipo sheria inachukua mkondo wake... Majeshi hayatakiwi kuendeshwa kwa mihemko binafsi... ndio maana kina waziri wa Ardhi iliyoumbwa na Mungu anafikia kusema OCD mchukue huyu... mihemko tu... ni kukosa hadhi ya uongozi na kujigeuza mtawala... tizama mtu kama silaa anafaida gani bora tu wakoloni miji ilipangika..

Ukajibikaji mkuu wa polisi aatakiwa achukuae hatua kwa wanajeshi wasio na maadili pengine hawana akili mental diseases zipo jamani walishasema kati ya watanzania 10 mmoja ni kichaa
 
Sheria ya ukamataji ipo hivyo?.
Natamani niwe IGP.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…