ngalelefijo
JF-Expert Member
- Jun 26, 2012
- 3,966
- 2,596
Kishundu anacho mamako??Chadema watulize vishundu kwanza mamlaka zifanye kazi yake. Hata wangeandamana miezi mwisho wa siku ni haohao Polisi watakaotakiwa kutafuta na kukamata watuhumiwa na ni hizohizo Mahakama za Tanzania ambazo wanadai hawaziamini zitakazoshughulikia.
Waache siasa kwenye sheria
I know I can!
Mimi kwa vile ni mdau wa sheria na haki za binadamu sifurahishwi na matamko kama haya. Mbona hapo nyuma wamekuwa wakiandamana kwa amani na hawajafanya uhalifu wowote? I believe that the more people express their viewpoints, the more they relax (release tension,), and the more they are mazzled, the more they build up tension/anger. Je, si kuvunja Katiba?Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania, David Misime, ameeleza kuwa Jeshi la Polisi limepiga marufuku maandamano yaliyoandaliwa na CHADEMA, ambayo yalikuwa yamepangwa kufanyika Septemba 23 katika jiji kuu la kibiashara, Dar es Salaam. Marufuku hiyo imetolewa kwa lengo la kudumisha amani na usalama wa wananchi.
Misime aliongeza kwamba hatua hii imechukuliwa kwa sababu baadhi ya viongozi na wafuasi wa CHADEMA wamekuwa wakipanga mikakati ya kuchochea vurugu nchini, hali ambayo inaleta hatari kwa amani ya nchi. Alisema kuwa mara kadhaa serikali imeagiza kufanyika kwa uchunguzi ili kubaini walipo wanachama waliodaiwa kupotea, lakini baadhi ya watu wanaendelea kutoa mipango inayolenga kuharibu amani.
Soma: Freeman Mbowe: Tutaandamana kudai watu waliopotea
"Kwanini wanataka kututoa kwenye reli hatua za kiupelelezi zinazoendelea baada ya Rais Samia Suluhu kuagiza kufanyika kwa uchunguzi, mara kadhaa viongozi na wafuasi wamekuwa wakipanga na kuratibu mikakati mbalimbali na kutoa mipango yenye lengo la leta vurugu nchini ili kuharibu amani ya nchi yetu kwasababu zao wenyewe, kutokana na taarifa hiyo jeshi la polisi nchini limepiga marufuku kuacha kuendelea kuhamasisha kujihusisha katika uhalifu huo"
Arsis, anasemaje?Sisi wanatanga tunasema, Ali Mohamed Kibao asitumike kama turufu ya kisiasa. Serikali iwachwe huru ifanye uchunguzi wake.
Msioelewa; Ali Mohamed Kibao ni zaidi ya siasa, kishakua CCM, Kishakua CUF kishakua Chadema na pengine hivi karibuni angekua ni ACT.
Hajawahi kua na ugomvi na CCM wala CUF wala Chadema wala chama kingine chochote cha kisiasa.
Simba.
Usemi wetu, Ali Mohamed Kibao asitumike kama turufu.Arsis, anasemaje?
Marehemu alikuwa nani ?
Maandamano yawepo au yasiwepo kabisa ?
Na kwanini ?
Naomba mwulize atufafanulie 😅
Naunga mkono hoja kuhusu haki ya kuandamana, ila kwa vile polisi ndio mwenye dhamana ya usalama, kama wamepokea taarifa za kiintelijensia kuhusu uwezekano wa vurugu, then nawashauri Chadema Ushauri kwa CHADEMA: Japo ni Haki, lakini chondechonde Msiandamane. Mwenye Nguvu Mpishe!Mimi kwa vile ni mdau wa sheria na haki za binadamu sifurahishwi na matamko kama haya. Mbona hapo nyuma wamekuwa wakiandamana kwa amani na hawajafanya uhalifu wowote? I believe that the more people express their viewpoints, the more they relax (release tension,), and the more they are mazzled, the more they build up tension/anger. Je, si kuvunja Katiba?
In my opinion, this appears to be an old song, and with the new leadership I thought its stanzas should have been improved to appreciate and affirm a new beginning which embraces 4Rs.Naunga mkono hoja kuhusu haki ya kuandamana, ila kwa vile polisi ndio mwenye dhamana ya usalama, kama wamepokea taarifa za kiintelijensia kuhusu uwezekano wa vurugu, then nawashauri Chadema Ushauri kwa CHADEMA: Japo ni Haki, lakini chondechonde Msiandamane. Mwenye Nguvu Mpishe!
P
4R is just a preach Mama don't preach. I think we've had enough of Preaching about law, justice & human rights. Would you Please just Practice what you Preach?In my opinion, this appears to be an old song, and with the new leadership I thought its stanzas should have been improved to appreciate and affirm a new beginning which embraces 4Rs.
Kwa nini unaishia tu kukosoa wazo la chadema bila kutoa wazo mbadala ?Tamko la hovyo, warudishe vijana wetu kwanza. Halafu Chadema waje na mkakati mwingine, maandamano hayajawahi kuwa suluhisho kwenye jambo lolote nchi hii,watu wataumia tu na bado mambo yatabaki vile vile.
Wao mapolisi wakiongozwa na mafwele ndio wanaoteka na kuua raia wasio na hatia.Polisiccm bwana, kwenye maandamano hata wakisikia tu na si taarifa rasmi kwamba wamepelekewa. Harakaharaka wanakataza.
Watu wanatekwa mchana kweupe, wanauwawa hawaji haraka kuyaongelea na kutafuta ufumbuzi. Shida ni ccm kuingiza mifumo yote, kuwa ya kisiasa hatutaenda kokote mpaka Katiba mpya, wabanwe spana kwanza.