Interested Observer
JF-Expert Member
- Mar 27, 2006
- 3,384
- 4,428
Wala si jazba Mwiba kwani wewe hupo Bongo? Sorry, but this is very true, miaka ya nyuma nilikuwa niko very proud kutangaza utaifa wangu nikisafiri nje ya nchi lakini sasa nisipoulizwa hata sitaji utaifa wangu naona aibu sana. Nchi inaendeshwa kama nini sijuwi nakosa hata mfano. Can you imagine tuko na sheria za aina 2 sasa, za walalahoi na wenye nacho. Mwenye nacho anaweza kufanya lolote na chochote kisifanyike kwake. Waziri anaweza kufanya lolote hata rushwa iliyothibitishwa na still akaendelea kuwa waziri.Bunge linatoa azimio kwa serikali (Hosea na Mwanyika) hakuna chochote kinafanyika. Do we really have a government au usanii tu? Binafsi ninaona aibu kwelikweli kuwa mtz kwa sasa.
Hayo ni machache tu Mwiba the list goes on and on. So kipi kitamshinda Slaa hapo?
Mbona Slaa is better than Kikwete ,Mkapa and Mwinyi ,the only problem for him to get to Ikulu ni mwamko mdogo na uelewa mdogo wa wapiga kura hasa wa vijijini !!!
Mwiba sorry huenda sijakusoma vizuri hivi kwani JK ana nini cha kumzidi Dr. Slaa? Mbona mimi sikioni na the way nchi inavyoendeshwa kienyeji I even have a feeling kwamba mtu yeyote anaweza kuwa rahisi (rais) wa nchi hii though sikuwahi kufikiri hivyo kabla ya hii awamu ya kisanii.
NO, NO, MWIBA SI MBAGUZI, NI MAPENZI YAKE TU NA CHAMA CHAKE, KUPENDA KWAKE SI UBAGUZI ILA DEMOKRASIA IMTUMAVYO!!Mkuu Bob hujamjua Mwiba, huyu Mwiba yeye ni CUF, Seif na Zanzibar tu. Hawezi kumuunga mkono yeyote zaidi ya hao watatu yaani chama CUF pekee, kiongozi Seif pekee na nchi Zanzibar no Muungano. kwa ujumla jamaa ni mbaguzi. Nawaunga mkono wananchi na CHADEMA wa Iringa kwa kuonyesha kwa vitendo support yao kwa Dr. Slaa na kupinga ufisadi na rushwa katika usambazaji na uuzaji wa mbolea. Watanzania wengine tuige na tusambaze ujumbe wa mabadiliko.
Bobby,
Usijali sana huyu Mwiba ni mwenzetu katika hii crusade ya mikasa ya nchi yetu. Ila tu matumaini yake makubwa kawayaweka kwa Maalimu Seifu; sasa ukisema kinyume cha huyo yeye demokrasia humtoka!!
SLaa for presidency
Kma itashindikana kuifanya hii iwe ajenda inayojitegemea, Chadema wanaweza kuiingiza kuwa sehemu ya operesheni sangaraKama sio kuwa mbali na Iringa ningekuwapo katika maandamano hayo tena nikiwa na bango lisemalo NI WAKATI WA KUIZIKA SISI MIJIZI. Watu wa Iringa wamefanya kitu natamani watanzania wote tungefanya kila siku tena hata kama Polisi wanazuia sisi tunaweza kuwaonyesha nguvu ya umma.
Enyi wananchi wa Iringa mmeonyesha njia. Ni wakati wa sisi wengine kuendesha the same thing kwenye mikoa mingine ili kuongeza nguvu kwenye hoja ya shujaa Dr Slaa.
Tumuunge mkono Mesimiwa Dr. Slaa, maana anachokifanya ni kwa ajili ya watanzania wote kama sio wengi, tusikamane sote kwa pamoja.
Mwiba,Hawezi kwenda Ikulu kama hajaenda Jela ,wala hajakumbana na vipigo vya Sultani CCM.
hebu tuone Slaa akitumia maneno ya ghadhabu mbele ya vipaza sauti na kusababisha waandishi kutetemeka vidole wanapoandika habari zake, Wakuu jemedari wa Serikali ya Sultani CCM ni Seifu peke yake, bado hajatokea kwa Tanzania ya leo na kama mnataka mkutano unogele basi tumieni karata ya CUF Simba wa Nyika Maalim Seif Sharif Hamadi ,hata akina Slaa wanamjua na kumheshimu sana tu ,sasa nyie magabachori ikiwa mnamwona amepotea na hafai itakuwa ni woga ndio unaowahangaisha....
Ulichosema Shaom ni kweli,especially kuhusu Mwiba,nadhani aliyeifufua ile thread yake ya 2007 kuwa hakuna chama mbadala ndiye amemuumbua zaidi.mzee umechemka sana kwa mwiba. fuatilia posting zake za mwanzo utaona kabisa kuwa huyu ni ccm damu kabisa na ni watu wanaotumiwa kwani ghafla akapiga u turn na kujifanya eti ni cuf ili tu kupenyeza mambo yake. Huyu anajua kabisa kuwa huku bara cuf haina nguvu ila anaitumia kuisaidia chama chake.
kama hauamini tafuta post za mwiba 1-100 za kwanza halafu utaniambia. Watu hawa humu wamo wengi tu wengine utawaona wakija na viabari mbuzi wakidai ni watetezi wa wanyonge kumbe wana ajenda zao. Leo namtaja mmoja tu Gembe na yeye ni kama mwiba tu hakuna tofauti ni watumishi wa mafia wakiongozwa na baba yao anayejuana na viongozi!
mzee umechemka sana kwa mwiba. fuatilia posting zake za mwanzo utaona kabisa kuwa huyu ni ccm damu kabisa na ni watu wanaotumiwa kwani ghafla akapiga u turn na kujifanya eti ni cuf ili tu kupenyeza mambo yake. Huyu anajua kabisa kuwa huku bara cuf haina nguvu ila anaitumia kuisaidia chama chake.
kama hauamini tafuta post za mwiba 1-100 za kwanza halafu utaniambia. Watu hawa humu wamo wengi tu wengine utawaona wakija na viabari mbuzi wakidai ni watetezi wa wanyonge kumbe wana ajenda zao. Leo namtaja mmoja tu Gembe na yeye ni kama mwiba tu hakuna tofauti ni watumishi wa mafia wakiongozwa na baba yao anayejuana na viongozi!