Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
I think this time it could be hard for government as special unity inside Catholic church must work secret some where to know the truth. Watu wenye akili nyingi sana walishaona hili tangu siku ile Cheef alipo mwachia yule bwana. Inasemekana wenye akili walionya ila hakuna alie ona wala kuelewa.Polisi mkoani Geita wamesema uchunguzi wa awali unaonyesha aliyevunja Kanisa la Katoliki na kuharibu Vitu mbalimbali ni Muumini aliyekuwa amelewa
Uchunguzi unaendelea.
======
Pia soma: Kanisa Kuu la Kiaskofu Jimbo Katoliki la Geita limevamiwa usiku wa kuamkia February, 26 2023![]()
![]()
Source Star tv
Mkuu wamekumegea?Non-sense kabisa "ety mlevi" hao wachungaji sijui mapadre waache kuchakata wake za watu bado wao tutawaharibu anytime soon.
Kashindwa kujitetea asivunjwe mguuKumbuka Mkuu wa police Geita ni Kobaaz Ramadhan Ng'azi.
[emoji38][emoji1]
Umeita ngonjera kwasababu kama vile jibu halijakufurahisha! Yaani watu wamefanya uharibifu kama huo bado pia ulitaka uambiwe ni flani ili ufurahi?
Sasa wewe na aliefanya huo uharibifu nani muharibifu zaidi? Maana umeambiwa ni mlevi hujajaridhika ulitaka uambiwe ni Masawe ili chuki iwepo baina ya waroma na Masawe?
Kama unasali kwa hiyo imani yako basi acha hizo habari