Polisi yasema aliyevunja Kanisa Katoliki na kuharibu Vitu Geita ni Muumini aliyekuwa amelewa!

Polisi yasema aliyevunja Kanisa Katoliki na kuharibu Vitu Geita ni Muumini aliyekuwa amelewa!

Kwaiyo mjomba baada ya kupiga gambe,akakumbuka kuwa miaka na miaka ametoa sadaka kanisani?akapiga hesabu akaona amechangia sadaka kama milioni kadhaa?akaamua akavunje aibe sadaka achukue chenji yake..?nawaza kwa sauti tu wadau.
 
Polisi mkoani Geita wamesema uchunguzi wa awali unaonyesha aliyevunja Kanisa la Katoliki na kuharibu Vitu mbalimbali ni Muumini aliyekuwa amelewa

Uchunguzi unaendelea.

======

1677414935444-jpg.2530606

1677414922524-jpg.2530610
Pia soma: Kanisa Kuu la Kiaskofu Jimbo Katoliki la Geita limevamiwa usiku wa kuamkia February, 26 2023

Source Star tv
I think this time it could be hard for government as special unity inside Catholic church must work secret some where to know the truth. Watu wenye akili nyingi sana walishaona hili tangu siku ile Cheef alipo mwachia yule bwana. Inasemekana wenye akili walionya ila hakuna alie ona wala kuelewa.
Hili tukio limetengenzwa kwa ufanisi mkubwa sana kiasi sio rahisi kujuwa nani japo wenye akili wanajuwa nani japo hawawezi comment. Viashiria vinaonyesha ukianza kula nyama za watu huwezi acha. Baada ya hili Kuna lingine linakuja. How na wapi let keep our 👁️ open
 
Umeita ngonjera kwasababu kama vile jibu halijakufurahisha! Yaani watu wamefanya uharibifu kama huo bado pia ulitaka uambiwe ni flani ili ufurahi?

Sasa wewe na aliefanya huo uharibifu nani muharibifu zaidi? Maana umeambiwa ni mlevi hujajaridhika ulitaka uambiwe ni Masawe ili chuki iwepo baina ya waroma na Masawe?

Kama unasali kwa hiyo imani yako basi acha hizo habari

Mlevi anang’oa cctv camera?
 
Ninavojua mimi wale walevi mashuhuri wakilewa huwa wanaimba imba barabarani mpaka nyumba kwake akifika anamuita mama wawili then anapiga mlango teke anaingia ndani kulala.Sasa mlevi anaenda kanisa tena 🤷‍♂️ 🤷‍♂️.
 
Ulevi umesingiziwa, hakuna mtu anayelewa akaenda kuvunja kanisa bila ya kuwa na ufahamu na anachokifanya.......labda atumie ulevi kama cover-up ya kufanya kile alichokuwa amekusudia moyoni hata kabla ya kulewa.​
 
Back
Top Bottom