Jana Membe alikuwa na press conference akatoa masaa 12 mtu wake arejeshwe vinginevyo patachimbika.Duuh kwani angemfanyaje zaidi labda ya kulalamika tu kwenye media maana huwa najaribu kuimagine mikwara mama hiyo utekelezaji wake unakuwaje nashindwa kuelewa.
Mbona hawahoji pesa zinazotumiwa na mbogamboga kwenye kampeni zimetoka wapi?
Apewe mara ngapi huo ukamishnaHana akili ndio maana hakupewa ukamishna
Hao si polisi ni GESTAPO wa MagufuliPolisi ni watekaji, au watekaji ni ¹polisi... kama ni kushikiliwa kwa mahojiano iweje achukuliwe bila familia kujuzwa!
Twambie ualifu wake kwanza.Nalipongeza Jeshi la Polisi kwa kuendelea kudhibiti wahalifu
Utaelewaje wakati wewe ni mburula?Duuh kwani angemfanyaje zaidi labda ya kulalamika tu kwenye media maana huwa najaribu kuimagine mikwara mama hiyo utekelezaji wake unakuwaje nashindwa kuelewa.
Hahahah kwa wasiwasi gani?Mwambieni mambo sasa baada ya Tar 28/10 faili zote hapo ofisini kwake ziwe na taarifa sahihi- akumbuke ofisi yoyote ya serikali inasimamiwa kwa mujibu wa sheria, kama anafanya mambo kinyume na utaratibu basi huko anakoshikilia watu asishangae na yeye akashikiliwa huko
Hivi na wewe hujamfuata kada mwenzio Shana?Duuh kwani angemfanyaje zaidi labda ya kulalamika tu kwenye media maana huwa najaribu kuimagine mikwara mama hiyo utekelezaji wake unakuwaje nashindwa kuelewa.
Ubalgiji ndio wapi na wewe na mihemko yako ya ki CCM?Hahahah kwa wasiwasi gani?
Siku baada ya uchaguzu tundu atalindwa na police na baada ya matokeo anawahishwa kisutu, na dhamana yake inafutwa anenda jela, hadi amalize kesi yake kisha atimkie ubalgiji.