Polisi yasema inamshikilia msaidizi wa Membe Jerome Luanda, anatuhumiwa kwa kosa la kutakatisha fedha

Ndio tunamsubiria bosi wa ACT, mate yatutiririka kwa uchu wa udaku hapa
Kwa taarifa yako tu.

Membe ni mtaalamu katika fani ya kuwaangusha watu wanaomshabikia.

Anaweza kutangaza atamwaga mboga, mkajazana hapo kumsikiliza, akawaambia ile mboga tumeipiga picha, picha zinasafishwa kwanza iwepo kumbukumbu kabla ya kuimwaga, nitawajulisha maendeleo zaidi.

Halafu mnabaki na msawali, digital camera zote mpaka kwenye simu Mzee Baba bado anasafisha picha mpaka leo?
 
Katoa mkwara kabla ya masaa 12 wawe wameishamuachia watekaji, na kweli wametoa taarifa kuwa watekaji ni polisi tumewajua. Na sasa tumejua kuwa hawa ndio wasiojulikana, tunasubiria watuambie wamemteka kwa sababu gani.
 
BREAKING NEWS : Kamanda wa Polisi Kanda maalum ya Dar es salaam Lazaro Mambosasa, amesema msaidizi wa @BenMembe Jerome Luanda yuko mikononi mwa polisi na ni mzima wa afya hivyo wanaodai ametekwa ni waongo...
YES!
 
Katoa mkwara kabla ya masaa 12 wawe wameishamuachia watekaji, na kweli wametoa taarifa kuwa watekaji ni polisi tumewajua. Na sasa tumejua kuwa hawa ndio wasiojulikana, tunasubiria watuambie wamemteka kwa sababu gani.
Wamemuachia?
 
Duuh kwani angemfanyaje zaidi labda ya kulalamika tu kwenye media maana huwa najaribu kuimagine mikwara mama hiyo utekelezaji wake unakuwaje nashindwa kuelewa.
unaelewa nini huoni mkwara umetekelezwa c wangesubiri huo muda chezea Membe wewe
 
KUNA WATU HUWA WANAJAMBA MAVI,KABLA HAJAANZA KUNUKA, WANAPULIZIA PAFYUME. UMETEKA BAADA YA KUBAINIKA, UNAJIFANYA UNAMSHIKILIA 🤣🤣🤣
 
Sasa mbona hawajasema wamemshikilia kituo gani?
 
Ni wazi kuwa huyo msaidizi wa Membe, Jerome Luanda, alitekwa na hakuwa wa kwanza kutekwa kwani wametekwa wengi katika awamu hii ya tano. Mwandishi Azori Gwanda naye alitekwa hivyo hiyvo kama alivyotekwa Jerome Luanda ila tofauti ni kwamba waliodaiwa kumteka kwa namna moja au nyingine hawakujitokeza kwa sababu hakuna aliyethubutu na kuwa tayari kuwaumbua. Safari hii watekaji imebidi wajitokeze kwa sababu ya mkwara waliowekewa na Membe mwenyewe wa kuwataja hadharani.

Hii imenikumbusha jinsi waliotaka kumteka yule mura wa Tarime ilivyobidi haraka haraka wajitambulishe ili wajiokoe na pigo ambalo lingewakuta kama hawakufanya hivyo. Afande Mambosasa amejikuta hana namna bali kujitokeza haraha haraka na kuokoa jahazi la wasiojulikana ambao kwa miaka mitano wameteka, wametesa na wamepoteza kama ilivyotokea kwa Azory Gwanda. Hatimaye wingu zito lililokuwa limewafunika wasiojulikana limeondolewa na kwa mara ya kwanza tunawaona kwa sura zao halisi.
 
Kujitokeza na kukiri kumteka sasa hatopotea sababu tumewajua wasiojulikana
Hujajibu swali nililokuuliza na ulilojibu sijakuuliza.

Membe alisema wamuachie, la sivyo...

Wamemuachia?
 
Reactions: Dua
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…