mlisema akija tu atakamatwaHahahah kwa wasiwasi gani?
Siku baada ya uchaguzu tundu atalindwa na police na baada ya matokeo anawahishwa kisutu, na dhamana yake inafutwa anenda jela, hadi amalize kesi yake kisha atimkie ubalgiji.
Duh,maneno hata kama yumo humu ajifunze.ukamanda wake wa kuteuliwa asijifanye anajua.kwani familia yake inaishi mawinguni!.tukichoka atakomaHili likamanda ni litekaji litesaji limeshiriki uhalifu mwingi sana! Linamchukuaje mtu bila taarifa kutolewa? Mwanausalama wa hovyo kwenye mfumo wa hovyo hovyo!
Kama usingekuwa kada usingelazimisha kuniambia mimi mpinzani na nawashobokea akina Membe, unafiki umekujaa wewe ni kada unayechukizwa na kila ambaye yuko kinyume na walio madarakani.Ukada wa chama gani? Mimi sina chama Tanzania. I am an equal opportunity critic.
Unarudia mule mule ambako ushaeleza nimekwambia that is irrelevant.
Membe kafanya nini?
Hatutaki rais ambaye atapiga mikwala watu maadui wa nchi yetu, halafu wakimjambisha ananywea.
Membe kafanya nini baada ya mikwala yake?
Ok, Una mpango wa kupindua nchi nini?Mwambieni mambo sasa baada ya Tar 28/10 faili zote hapo ofisini kwake ziwe na taarifa sahihi- akumbuke ofisi yoyote ya serikali inasimamiwa kwa mujibu wa sheria, kama anafanya mambo kinyume na utaratibu basi huko anakoshikilia watu asishangae na yeye akashikiliwa huko
ina uhusiano gani na kuwakamata marafiki wa membe?Ok, Una mpango wa kupindua nchi nini?
Naamini mkuu unatania! Kama unamaanisha kiki ulichouliza basi najitoa JF!Ametakatisha fedha zilikuwa chafu ? Kuzifanya ziwe safi ni Kosa Mambosasa?.
Wameishia kuwakamata wasaidizi wake na watu wote aliokuwa akiwasiliana nao akiwa Dubaimlisema akija tu atakamatwa
Wameishia kuwakamata wasaidizi wake na watu wote aliokuwa akiwasiliana nao akiwa Dubai
[/QUOTE
Membe kafanya nini baada ya kupiga mkwala?Kama usingekuwa kada usingelazimisha kuniambia mimi mpinzani na nawashobokea akina Membe, unafiki umekujaa wewe ni kada unayechukizwa na kila ambaye yuko kinyume na walio madarakani.
Kitu kikubwa tumewajua watekaji kwa sababu ya kauli ya Membe, umekasirika kwa sababu watekaji wasiofuata sheria na taratibu (ethics) wamekuwa exposed.
Mnafiki mkubwa, equal opportunity critics? My ass! Yanayofanywa na polisi you see nothing worth criticism. MNAFIKI
Time and time again nimekwambia sishobokei Membe kuwa Rais, hiyo reasoning unayotaka kuiimpose kwangu ni uendawazimu wako na roho yako ya kichawi, narudia fungua kichwa chako na unafiki wako. Nachofurahia ni polisi wanaofanya kazi ya ukada kama wewe halafu kujificha kwenye kivuli cha equal opportunity critics wamekuwa exposed. Period, give a break please, peleka unafiki wako mbele
Ina uhusiano na alichoandika hapo juu. Ila kwa wewe potezea tu, huna uhusiano nayo.ina uhusiano gani na kuwakamata marafiki wa membe?
Ushawahi kuwaona mabinti wakisutana, huku wameshika pindo za magauni yao, wakiinua vidole karibu watiane vya macho? Hamna tofauti, una GUBUMembe kafanya nini baada ya kupiga mkwala?
Kwanza kama ishu inamuhusu jasusi ilitakiwa akamatwe yeye na sio msaidizi, wanaonea dagaa wamfate kambale waone moto..Wamemwogopa mzee wa kunuka. Kwa nini wamemkamata ?
Na haya ndio madhara ya kujaza waliofeli kidato cha 4 kuja kuwa police, hawajui majukumu yao kabisa.Chochote kitakachomtokea huyo msaidizi wa Membe, kila mtu atajua wahusika ni polisi na huo ndio uzuri wa kukiri kwao. Kila mtu sasa anajua polisi wananmshikilia na si jukumu la ndugu na marafiki kuhangaika kumtafuta eti kutoka kiuto kimoja cha polisi hadi kingine kama anavyodai huyo kilaza mambo sijui.
Inatakiwa ukifika kituo chochote cha polisi kuulizia aliko ndugu yako na kama ni kweli anashikiliwa na polisi inatakiwa upate majibu hapo hapo na si uzungushwe kutoka kituo kimoja hadi kingine. Huo ni utaratibu wa kishamba na wa kijinga sana kwani wana namna ya kuwasiliana na kukupa majibu stahiki.
Membe anatakiwa amuunge Lisu waziwazi wapige kampeni wamuangushe huyu dikiteta uchwaraHatari sn hii nchi......
Uhuru haki na maendeleo ya watu ni Muhimu San sio huu udikteta.....
Membe kafanya nini baada ya kupiga mkwala?Ushawahi kuwaona mabinti wakisutana, huku wameshika pindo za magauni yao, wakiinua vidole karibu watiane vya macho? Hamna tofauti, una GUBU
Hana madhara yoyote kachero mbobezi yule na Lissu alishamsoma zamani sn ndio maaana alisema yy sio mjinga na chama chake sio wajingaMembe anatakiwa amuunge Lisu waziwazi wapige kampeni wamuangushe huyu dikiteta uchwara
Hana tofauti na yule alie sahau kuamka jana. Shana kada wa Ccm. Ndio maana wana kufa vifo vya ajabu
Tuna msubiria mwinginehahaha eti alisahau kuamka[emoji1787] ila kifo cha yule mzee watu wamefurahi sana