Polisi yasema inamshikilia msaidizi wa Membe Jerome Luanda, anatuhumiwa kwa kosa la kutakatisha fedha

Polisi yasema inamshikilia msaidizi wa Membe Jerome Luanda, anatuhumiwa kwa kosa la kutakatisha fedha

Hahahah kwa wasiwasi gani?

Siku baada ya uchaguzu tundu atalindwa na police na baada ya matokeo anawahishwa kisutu, na dhamana yake inafutwa anenda jela, hadi amalize kesi yake kisha atimkie ubalgiji.
mlisema akija tu atakamatwa
 
Hili likamanda ni litekaji litesaji limeshiriki uhalifu mwingi sana! Linamchukuaje mtu bila taarifa kutolewa? Mwanausalama wa hovyo kwenye mfumo wa hovyo hovyo!
Duh,maneno hata kama yumo humu ajifunze.ukamanda wake wa kuteuliwa asijifanye anajua.kwani familia yake inaishi mawinguni!.tukichoka atakoma
 
Ukada wa chama gani? Mimi sina chama Tanzania. I am an equal opportunity critic.

Unarudia mule mule ambako ushaeleza nimekwambia that is irrelevant.

Membe kafanya nini?

Hatutaki rais ambaye atapiga mikwala watu maadui wa nchi yetu, halafu wakimjambisha ananywea.

Membe kafanya nini baada ya mikwala yake?
Kama usingekuwa kada usingelazimisha kuniambia mimi mpinzani na nawashobokea akina Membe, unafiki umekujaa wewe ni kada unayechukizwa na kila ambaye yuko kinyume na walio madarakani.

Kitu kikubwa tumewajua watekaji kwa sababu ya kauli ya Membe, umekasirika kwa sababu watekaji wasiofuata sheria na taratibu (ethics) wamekuwa exposed.

Mnafiki mkubwa, equal opportunity critics? My ass! Yanayofanywa na polisi you see nothing worth criticism. MNAFIKI

Time and time again nimekwambia sishobokei Membe kuwa Rais, hiyo reasoning unayotaka kuiimpose kwangu ni uendawazimu wako na roho yako ya kichawi, narudia fungua kichwa chako na unafiki wako. Nachofurahia ni polisi wanaofanya kazi ya ukada kama wewe halafu kujificha kwenye kivuli cha equal opportunity critics wamekuwa exposed. Period, give a break please, peleka unafiki wako mbele
 
Mwambieni mambo sasa baada ya Tar 28/10 faili zote hapo ofisini kwake ziwe na taarifa sahihi- akumbuke ofisi yoyote ya serikali inasimamiwa kwa mujibu wa sheria, kama anafanya mambo kinyume na utaratibu basi huko anakoshikilia watu asishangae na yeye akashikiliwa huko
Ok, Una mpango wa kupindua nchi nini?
 
We nae hata unachokisema hakieleweki!!!

Wataje hao waliokamatwa na wamekamatwa lini na kwa kosa gani?

Na hao waliokamatwa wako wapi? Na wewe umefahamje kuhusu ukamatwaji wao au ni mmoja wa wakamataji?
Wameishia kuwakamata wasaidizi wake na watu wote aliokuwa akiwasiliana nao akiwa Dubai
[/QUOTE
 
Kama usingekuwa kada usingelazimisha kuniambia mimi mpinzani na nawashobokea akina Membe, unafiki umekujaa wewe ni kada unayechukizwa na kila ambaye yuko kinyume na walio madarakani.

Kitu kikubwa tumewajua watekaji kwa sababu ya kauli ya Membe, umekasirika kwa sababu watekaji wasiofuata sheria na taratibu (ethics) wamekuwa exposed.

Mnafiki mkubwa, equal opportunity critics? My ass! Yanayofanywa na polisi you see nothing worth criticism. MNAFIKI

Time and time again nimekwambia sishobokei Membe kuwa Rais, hiyo reasoning unayotaka kuiimpose kwangu ni uendawazimu wako na roho yako ya kichawi, narudia fungua kichwa chako na unafiki wako. Nachofurahia ni polisi wanaofanya kazi ya ukada kama wewe halafu kujificha kwenye kivuli cha equal opportunity critics wamekuwa exposed. Period, give a break please, peleka unafiki wako mbele
Membe kafanya nini baada ya kupiga mkwala?
 
Wamemwogopa mzee wa kunuka. Kwa nini wamemkamata ?
Kwanza kama ishu inamuhusu jasusi ilitakiwa akamatwe yeye na sio msaidizi, wanaonea dagaa wamfate kambale waone moto..
Chochote kitakachomtokea huyo msaidizi wa Membe, kila mtu atajua wahusika ni polisi na huo ndio uzuri wa kukiri kwao. Kila mtu sasa anajua polisi wananmshikilia na si jukumu la ndugu na marafiki kuhangaika kumtafuta eti kutoka kiuto kimoja cha polisi hadi kingine kama anavyodai huyo kilaza mambo sijui.

Inatakiwa ukifika kituo chochote cha polisi kuulizia aliko ndugu yako na kama ni kweli anashikiliwa na polisi inatakiwa upate majibu hapo hapo na si uzungushwe kutoka kituo kimoja hadi kingine. Huo ni utaratibu wa kishamba na wa kijinga sana kwani wana namna ya kuwasiliana na kukupa majibu stahiki.
Na haya ndio madhara ya kujaza waliofeli kidato cha 4 kuja kuwa police, hawajui majukumu yao kabisa.
Hili ni janga..
 
Ushawahi kuwaona mabinti wakisutana, huku wameshika pindo za magauni yao, wakiinua vidole karibu watiane vya macho? Hamna tofauti, una GUBU
Membe kafanya nini baada ya kupiga mkwala?
 
Membe anatakiwa amuunge Lisu waziwazi wapige kampeni wamuangushe huyu dikiteta uchwara
Hana madhara yoyote kachero mbobezi yule na Lissu alishamsoma zamani sn ndio maaana alisema yy sio mjinga na chama chake sio wajinga
 
Back
Top Bottom