Kama usingekuwa kada usingelazimisha kuniambia mimi mpinzani na nawashobokea akina Membe, unafiki umekujaa wewe ni kada unayechukizwa na kila ambaye yuko kinyume na walio madarakani.
Kitu kikubwa tumewajua watekaji kwa sababu ya kauli ya Membe, umekasirika kwa sababu watekaji wasiofuata sheria na taratibu (ethics) wamekuwa exposed.
Mnafiki mkubwa, equal opportunity critics? My ass! Yanayofanywa na polisi you see nothing worth criticism. MNAFIKI
Time and time again nimekwambia sishobokei Membe kuwa Rais, hiyo reasoning unayotaka kuiimpose kwangu ni uendawazimu wako na roho yako ya kichawi, narudia fungua kichwa chako na unafiki wako. Nachofurahia ni polisi wanaofanya kazi ya ukada kama wewe halafu kujificha kwenye kivuli cha equal opportunity critics wamekuwa exposed. Period, give a break please, peleka unafiki wako mbele