Kilwa94
JF-Expert Member
- Aug 21, 2016
- 2,676
- 3,046
Ondoa uharo wako.Jeshi la polisi kila mmoja ni mla rushwa ni swala tuu jamaa haikua siku yake nzuri.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ondoa uharo wako.Jeshi la polisi kila mmoja ni mla rushwa ni swala tuu jamaa haikua siku yake nzuri.
Jeshi la polisi kuchukua hatua kali iwapo ushahidi utaonesha askari wake alichukua rushwa.
Kuona picha hizo soma >>Kila Mtanzania ale usawa wa Kamba yake. Trafiki akamatwa kwa rushwa
Kwa kiasi Hicho cha pesa wanamuonea BURE tu Hapo haizidi laki,, au Inaonekana Ana bifu na mtuMbona kwenye maelezo ya polisi Hakuna au hamkutaja kiasi cha fedha zilizokutwa kwenye Siti ya gari?
Pili ni Lini Atakuwa mahakamani?
Tatu, ni nani atakuwa mchunguzi wa hii kesi?
TAKUKURU Mbona hawajaongea chochote?
Kwanini jeshi la polisi halijakiri ?
View attachment 2089094
View attachment 2089095
Elewa lakini police wakifata sheria Hakuna gari litakalo tembea barabarani huu ndo ukweli,magari mengi ni mabovu hayatakiwi yawepo barabarani.Ushauri wa bure kwa IGP:-
1. Polisi wote washonewe uniform ambazo hazina mifuko kama polisi wa Kenya.
2. Polisi wasiruhusiwe kutumia magari binafsi kwenda kwenye shughuli Za kipolisi barabarani.
3. Yatengwe maeneo ambayo polisi watakuwa barabarani na maeneo hayo ziwekwe CCTV camera.
Kwa nchi yenye watu wenye akili , hiyo kesi hawezi kushinda ila kwakuwa ni Tz, sioni ajabu!!Labda alikuwa anakusanya mchango wa msiba
Mbona kesi hiyo anaitusua mapema tu akitulia!
Hao mashahidi wakiitwa au wakiambiwa waje hawatotokea
Wamwachie tu huyo afande aendele kupiga kazi
Ova
Kibubu ukivunjie kwenye siti ya gari?Hapo kaka afande atajitetea kua alitoka kuvunja kibubu ili akalipe ada ya watoto.
Wanayejaribu kumsafisha,,Taarifa mbovu kuliko zote za awali
Ondoa uharo wako.
Madhaifu katika tukio hili;Mbona kwenye maelezo ya polisi Hakuna au hamkutaja kiasi cha fedha zilizokutwa kwenye Siti ya gari?
Pili ni Lini Atakuwa mahakamani?
Tatu, ni nani atakuwa mchunguzi wa hii kesi?
TAKUKURU Mbona hawajaongea chochote?
Kwanini jeshi la polisi halijakiri ?
View attachment 2089094
View attachment 2089095
Madhaifu ya tukio hili yamesababishwa na TAKUKURU aliyeatend tukio kuwa mpenda sifa.Yani jeshi limeshindwa kukiri hii aibu yenye ushahidi na ithibati isiyoacha shaka
Barua ngumu kama kiswahili cha googleJeshi la polisi kuchukua hatua kali iwapo ushahidi utaonesha askari wake alichukua rushwa.
Kuona picha hizo soma >>Kila Mtanzania ale usawa wa Kamba yake. Trafiki akamatwa kwa rushwa