Polisi yatoa ufafanuzi kuhusu kusambaa kwa picha ya Askari akiwa na pesa zinazodhaniwa kuwa za Rushwa

Polisi yatoa ufafanuzi kuhusu kusambaa kwa picha ya Askari akiwa na pesa zinazodhaniwa kuwa za Rushwa

mbona barua yenyewe haijakidhi walichotaman kukisema! huyo askari kaoneka na ofsa wake labda ndiye aliyemkamata! sasa maelezo hayaeleweki kwa barua
Just showing how incompetent jeshi hili lilivyo. Hata hawaelewiki wanataka kusema nini
 

Ushauri wa bure kwa IGP:-​

1. Polisi wote washonewe uniform ambazo hazina mifuko kama polisi wa Kenya.​

2. Polisi wasiruhusiwe kutumia magari binafsi kwenda kwenye shughuli Za kipolisi barabarani.
3. Yatengwe maeneo ambayo polisi watakuwa barabarani na maeneo hayo ziwekwe CCTV camera.

Wanatakiwa wale lakini wasile sana ila wanaweza kula kwa urefu wa kamba zao.

Mungu ibariki Tanzania
 
Deed assignments zao sahizi eti wanamlaumu mwezao kaona kachoka nawizi ameharalisha wanachosemaga
 
Mbona wanaweweseka ilihali katika picha zile kunaonekana kabisa alikuwepo askari wa cheo kikubwa na sura yake inaonekana wazi...

Kwa nini asiulizwe na jeshi likatoka na statement iliyonyooka?
 
Back
Top Bottom