JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,780
- 6,607
Taarifa ya Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam:
Kufuatia kikao cha ujirani mwema cha tarehe 18 Machi 2022 ndani ya Kanda No. 2 inayohusisha mikoa ya Kipolisi Ilala, Temeke, Kinondoni, Pwani na Rufuji, pamoja na mambo mengine Makamanda wa Mikoa hiyo walikubaliana kufanya Operesheni ndani ya Kanda hiyo. Amri ya Utendaji Namba 6 ya mwaka 2022 iliandaliwa tarehe 21 Machi hadi 08 April 2022 kwa lengo la kuzuia na kupambana na uhalifu wa makosa makubwa kama ifuatavyo;
Muliro J. MULIRO – ACP
KAMANDA WA POLISI KANDA MAALUM
DAR ES SALAM.
Kufuatia kikao cha ujirani mwema cha tarehe 18 Machi 2022 ndani ya Kanda No. 2 inayohusisha mikoa ya Kipolisi Ilala, Temeke, Kinondoni, Pwani na Rufuji, pamoja na mambo mengine Makamanda wa Mikoa hiyo walikubaliana kufanya Operesheni ndani ya Kanda hiyo. Amri ya Utendaji Namba 6 ya mwaka 2022 iliandaliwa tarehe 21 Machi hadi 08 April 2022 kwa lengo la kuzuia na kupambana na uhalifu wa makosa makubwa kama ifuatavyo;
- Makosa ya unyang’anyi wa kutumia silaha
- Makosa ya wizi wa Magari, pikipiki na bajaji.
- Makosa ya unyang’anyi wa kutumia nguvu
- Makosa ya madawa ya kulevya ( ya viwandani na ya shambani)
- Makosa ya uvunjaji na kuiba.
- Wizi wa Mifugo.
Muliro J. MULIRO – ACP
KAMANDA WA POLISI KANDA MAALUM
DAR ES SALAM.